Eng.Hersi azuie hizi tabia za kijinga kwenye klabu anayoiongoza.Yanga wanaingilia mlango mwingine,baadaye wakipigwa faini wanaanza kupiga kelele Karia ni Simba anapendelea Simba ,timu kubwa ila kubwa jinga
Matola kasha anza kazi yakeBenchi la Ufundi la Simba limekosea kupanga kikosi.
I'm sorry NAONA timu yangu ikienda kupoteza Tena.
Poleni Sana Wana Simba.
Labda iwe aliumia mazoezini (atakuwa kaanza msimu vibaya sana), lakini kama kabaki nje kwa sababu nyingine utakuwa ni upumbavu sana.Phiri Hata Bench Hayupo
πππππkwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Hiki kikosi mmmh sijui!kwa ichi kikosi Simba anakifa asubuhi tuView attachment 2323095
Nilichokiona kwa Hersi nimegundua ni mtu ambaye anatakiwa awe chini ya mtu yani awe anaongozwa bado hajawa matured kwenye uongozi na kimaamuziEng.Hersi azuie hizi tabia za kijinga kwenye klabu anayoiongoza.
View attachment 2323111
Huyu kocha anatujaribu kubabake, yani hakuna mtu ambae yuko positive na hicho kikosi
Naunga mkono hoja.Yanga wakifungwa na kosi hili kocha atimliwe tu
Huo wimbo wa cabo snoop ulikua unanifurahishaga Sana, maana alikua anaimba hivyo tu mziki mzima na ukavuma, u google usikiePrakatatumba abaabaabaa..teh teh teh π€£π€£, mkuu hii ID yako inanifurahisha Sana...πππ
[emoji23]huyu jamaa Prakatatumba abaabaabaa sijui aliwaza nini [emoji23]Prakatatumba abaabaabaa..teh teh teh [emoji1787][emoji1787], mkuu hii ID yako inanifurahisha Sana...[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mechi za Derby hasa hii ya kwetu hapa bongo huwa zina matokeo ya kushangaza sana. Hicho kikosi una dharau kina weza kukupa ushindi ila Mungu Atusaidie YANGA tushinde AamiiinKwa hiki kikosi sijui why nilinunue ticket ya kwenda uwanjani,nilidhani kikosi kipya full vyuma ila upuuzi tu wa kupeana presha
Bocco kasha anza kazi yakeLabda iwe aliumia mazoezini (atakuwa kaanza msimu vibaya sana), lakini kama kabaki nje kwa sababu nyingine utakuwa ni upumbavu sana.
Hatuwezi kuwategemea Kibu na Kyombo.
Nakazia!Yanga wakifungwa na kosi hili kocha atimliwe tu