Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weekend taaaamuuu
Kabisa mkuu kaipa Yanga heshima yake aiseeHii mechi kocha nabi kaimaliza yeye amini hivyo.
Ukiona nimekupa like ujue umeongea mawe bravo mwananchi..
Hawawezi kukuelewa mkuu wengi ni muhemko na hawapendi kufungua akili zao, ndiyo maana wanaanza kutatufa mchawi na very bad lucky viongozi wa simba wameingia kwenye huo mtegoUshauri wangu kwa watu wa Simba mjifunze kupunguza kelele, mnaboa sana.
Game ya leo sikutaka kuangalia nyumbani nikajichanganya mtaani kuangalia game, kwakweli watu wa Simba hawana ustaarabu halafu wanajiamini kwa timu ambayo tukiweka ushabiki pembeni haina quality kama Yanga.
Pili mpira ni mpaka refa amalize mechi, watu wa Simba wengi hawalijuhi hili.
Niliokuwa naangalia nao mechi niliwaambia ogopa Yanga akitangulia kukufunga hurudishi, Ila Yanga ukiwapiga wanarudisha na wataongeza, leo naonekana kama mnajimu wakati sina unajimu wowote fact ziko wazi.
Leo mji upo kimya wapiga kelele wanalala na viatu, watu wa Simba badilikeni.
Wewe una PhD ya unafiki!Kuna furaha nje ya siasa
Nje ya siasa Sisi sote ni Wananchi yaani Yanga
Hongereni wanasiasa niliowataja hapo juu Wana Yanga kindakindaki
Pole kwake Dr Kigwangalla na Zitto Kabwe kwa kichapo
Wakarekebisha makosa wakashinda mechi.Ikawaje?
Yanga walijua walipoteleza first half..kocha kafanya sub..ni ikawalipamwisho wa mechi nani kapotezwa??
Nyie wenye akili timu nzima au yanga nzima wawili leo naona meno yote njeeeHaya majamaa ni mambumbumbu kama Rage alivosema. Kuna watu humu baada ya mechi na wahabeshi waliandika madhaifu ya timu lao ila walitukanwa nakebehi juu. Ila sasa yanaongea yaleyale yaliyoambiwa yakaanza kutukana. Nini shida nyie mbumbumbu?
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, kipindi cha pili kilipoanza ni Nabi pekee ndiye alitefanya mabadiliko ya kumtoa sureboy na Farid Musa na kumuingiza Morrison na Moloko. Kocha wa Simba alifanya Sub baada ya Yanga kusawazisha. Point yangu ni kwamba Mayele alianza kufunga kipindi Chama yupo.Alipomtoa chama ndipo mayele akasema yes mbabe wa dimba katoka, ngoja nikiwasheee.
Kuna furaha nje ya siasa
Nje ya siasa Sisi sote ni Wananchi yaani Yanga
Hongereni wanasiasa niliowataja hapo juu Wana Yanga kindakindaki
Pole kwake Dr Kigwangalla na Zitto Kabwe kwa kichapo
Soma ueleweHivi huwa wanalazimishwa kuyabeba?
Duh mkuu anisamehe bure kile kinywaji sio kizuri, asubuhi hii ndio naona nilicomment vitu vingi vya ajabuUnamwita umbwa kwani Simba kashinda
Umejibu ki utu uzima, hongera kwa hili. Aidha, nikupe pole kwa kipigo cha jana.Mimi kuongea sana kwa hiyo ndio nishakua shoga sasa sindio?
Kuna sababu nyingine nje na hapa ambayo mimi nilishawahi kukukosea au ni huu huu mpira tu?
Haya wacha nikuache na furaha yako uliyoipata baada ya ushindi japo lugha unayotumia kufurahia ushindi huo sio nzuri kwangu na hata kwa Yanga wenzako walio staarabika
Upo wewe na kuna huyu Matola nawe niliona ile post yako ya matusi nikaiacha tu
Ila mngekuwa mnajiuliza licha ya mimi kutotoa matusi kwanini hamnioni kutumia majina machafu kuwaita (kinyesi) kama ambavyo wengine wanawaita mngejifunza namna ya ku filter maneno.