FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Update Uzi mkuu
 
Mnakimbiliakuanzisha Nyuzi hamuwezi kutoa updates wajinga nyie
 
Mechi ya Baker na Bakari, Singida anapigwa hilo liko wazi
 
Hii mechi sio nyepesi kwa Yanga kama vile watu wanavyodhania. Kumbuka mechi ya kule Zanzibar hadi watu wanataka kupigiana kisa kupaniana, ndivyo na leo Singida lazima wataingia katika mchezo wakitaka matokeo kwa namna yeyote ile.
Hujui nini kilitokea baada ya mechi ile? Kocha Uchebe alifukuzwa kazi kwa kuibania yanga, wasenge kweli hawa jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…