trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 758
- 1,400
kisaikolojia tupo vizuri labda kipengele uje nacho wewe koloKwa kipa huyu Diara, Yanga jiandaeni kisaikolojia tarehe 8 Machi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kisaikolojia tupo vizuri labda kipengele uje nacho wewe koloKwa kipa huyu Diara, Yanga jiandaeni kisaikolojia tarehe 8 Machi
Wangefungwa tu ila kama Yanga isingefanya sub...Kikosi Cha black stars Cha kipindi cha pili kilitakiwa kipangwe kipindi cha kwanza.
Ingekuwa kwa nchi zinazojielewa, hiyo inbox ingejaa leo
Kikosi Cha black stars Cha kipindi cha pili kilitakiwa kipangwe kipindi cha kwanza.
uzuri makipa wote wa simba ni maduka yetuWacha kuwashtua.Wacha waweke hilo shati.
Mimi sijasomea ukocha.Peleka CV zako upewe kazi ya ukocha
Hahahaha, Hayakuwa makubaliano......Kikosi Cha black stars Cha kipindi cha pili kilitakiwa kipangwe kipindi cha kwanza.
Tulia Sasa wataalam wafanye kazi yaoMimi sijasomea ukocha.
Hapana.Tulia Sasa wataalam wafanye kazi yao
😄😄😄😄😄😄😄 habari wanayo madunduka.Kutoka mwaka 2020 mpaka 2025 kwenye LIGI KUU - Yanga amepoteza mechi 1 dhidi ya Makolo. Miaka 6 ni mingi😂 leo wana nguvu kabisa na wanapaza sauti Singida ni dhaifu kwa Yanga. Aliyewahi kusema Tanzania ni channel ya vichekesho wala hakukosea. 😂🙌🏼 CC Bantu Lady ephen_ Shadeeya View attachment 3239300
Umeangalia kikosi Cha leo Cha sbsHii mechi sio nyepesi kwa Yanga kama vile watu wanavyodhania. Kumbuka mechi ya kule Zanzibar hadi watu wanataka kupigiana kisa kupaniana, ndivyo na leo Singida lazima wataingia katika mchezo wakitaka matokeo kwa namna yeyote ile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuwasubirie 8/3Kivipi? Ulitaka Mabingwa wacheze na timu gani? Hata 5imba nao walikula "KONO LA NYANI" vipi nayo ilikuwa maigizo?
kwamba mechi ijayo wanakutana na nyau ama umeamua kutunga sababu zakoWasiwe majeruhi watakapokutana na simba
nafasi ya pili kwake ni ubigwa pia maana mwaka jana aliikosaNyie rukeni rukeni weeh. Simba bingwa
unalitetea pazia la langoni kwa UtoPwiX?Hapana ila Sowah kafunga kwa ustadi tu
na mimi kuanzia leo yanga naomba Bantu Lady unipokee kwa ukaribisho😄😄😄😄😄😄😄 habari wanayo madunduka.
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚