Labda unbeaten kwa maana ya kwamba Refa hana uwezo wa kuwapiga adhabu kwenye matukio yenu uwanjaniHuwa ni kawaida kwa unbeaten team kwny mechi 40 mfululizo, timu inazokutana nazo huwa zinapania sana zivunje huo mwiko,. Ndicho kilichoitokea Yanga Leo. Hebu wape hongera Kwa kujitahidi kulinda rekodi yao
40 games na refa ameendelea kubaki katika kiwango chake kile kile40 games now... Hebu muelimishe huyo mbumbumbu mwenzako maana ya unbeaten kuliko kuandika utetezi ulioandika hapa..
Hii ni aibu ya kubebwa na uchawi.40 games na refa ameendelea kubaki katika kiwango chake kile kile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umepaniki broo..., kwaio unakataa kuwa sio uwezo wa Yanga S.C kuendelea kuwa unbeaten paka Leo??Bali ni uwezo wa waamuzi wa ligi yetu eti???40 games na refa ameendelea kubaki katika kiwango chake kile kile
Hivi kipa wa unbeaten team imekuwaje leo kapigwa goli mbili na wauza ice cream?
Aziz ni Fraud.Watasema presha ya mchezo
Usikalili mimi azam gasho weweNaona shahawa za mayele bado zinakuwasha uko matakoni,mayele atawakojolea namungo alivyowakojolea makolo
Mashoga haoUtasikia ”Azam Fc ina kila kitu ila sijui inakwamba wapi”?
Jibu swali tafadhariSimba mbona mnafurahia sana hii sare, hamuwezi kucheza na timu yoyote kati ya hizi za leo kubalini mkatae.
Nyinyi dondosheni points kizembe tu, kesho mtakuwa nafasi ya 4.Kolo una kiu ya kuona Yanga inafungwa [emoji23][emoji111],Yanga still unbeaten na sijui kama kuna timu ya kumfunga Yanga hapa nbc
Hata huyu ni fraud piaAziz ni Fraud.
Asee bajana amewachakaza sana watu pale katiSema bajana ipo.siku ataua mtu
Nashangaa national team tunapangiwa takataka mzamiru na mkude
Mbumbu kama wewe hamnazo? Eti unbeaten unbeaten za kimagumashi40 games now... Hebu muelimishe huyo mbumbumbu mwenzako maana ya unbeaten kuliko kuandika utetezi ulioandika hapa..
Hawana akili kabisaMauli Kitenge leo kwenye sports HQ akajidai ye ndio ripota wa habari ya Kisinda kana kwamba ye ni moja ya wadau ambao wako inner na walihusika kila hatua kwenye ishu ya usajili
Huyu hata akiwa studio namuona mara kwa mara kila ambapo wachambuzi wengine wanajaribu kuikosoa Yanga amekuwa akiwakatisha na kusema "ebu tupate matangazo ya mshindo milionea"
Wewe niache bwana unaniqoute qoute nini wewe?.wewe ndo unaujua sasa?.au na ww ndo walewale kudakia dakia bora mm naonyesha uhalisia pale napotaka kujua nimeuliza unbeaten ndo nini?.nimeshapata jibu..Ila umeng'ang'ana na sijui mpira sijui mpira ww unaejua umewahi hata kuwa mshika kibendera?.Wewe hujui mpira
Yanga wana mabeki washamba tu,goli la pili la azam jamaa kaituliza ile cross mpaka anashoot amna beki amemuwah yule jamaa,hata ile ya dube anapiga inaenda kwenye cross bar walimuangalia tuBeki za yanga zinakaba kwa macho ni waganga tu ndo wanasaidia hii team ila hamna team pale bila mbeleko za refa leo karia angetukanwa sana.