FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

Malalamiko yako yana husiana na nini,?
 
Yanga wanamkosa mtu kama chama kwenye mechi ya leo the football brain aziz ki mmepigwa mchana kweupe kwanza hana utulivu kabisa.
Sema tena! Ha ha ha ha aha ...kama kwrli ni mshabiki wa mpira hiwezi kutouona uzuri wa Aziz Ki.
Ni mchezaji wa daraja la juu sana sema anacheza na wenzie aliowazidi mbali na kuonekana umuonavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…