MandingoJR
Senior Member
- Jul 5, 2022
- 142
- 215
Ngap ngap geita..?Geita Gold nao mpira umeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngap ngap geita..?Geita Gold nao mpira umeisha
2-1Ngapi ngapi mda huu Geita?
Geita kashinda goli 2 kwa 1Ngap ngap geita..?
Daah...shughuli yake imeishia hapo aiseeGeita kashinda goli 2 kwa 1
Ila away walipoteza kwa goli 1
Heee unaota eeeeh!!!Tunataka awe top scorer wa hii ligi kwahyo wamuache
Huo ndio ukweli watake wasitake round inayofuata ni outUnatafuta ugomvi na hawa jamaa
Malalamiko yako yana husiana na nini,?Champion league ina amuliwa kwa timu kuchukua ubingwa
Timu yao imechukua ubingwa ila ni ligi mbovu, kwanza imeanza around 2014 pili hata upinzani wao uwanjani unaweza kuona ni kiasi gani ni low
Angalia tu kwenye mpira wa mwisho wa moloko ambapo cross yake imeenda juu ya lango. Alikuwa amezungukwa na wachezaji watatu lakini wote wanamuangalia, hakuna aliyemfata kumzuia mpala jamaa anautuliza na kupiga shuti
Kama wewe leo ulivyo umia leo. Ila endelea kusubiri, kwenye Makundi Yanga lazima aingie, utake hesitake na tarehe 23 October kama kawa lazima tumpasue mtu.Hii ndio mechi ya mwisho Yanga kutoka uwanjani wakiwa wanafurahi, baada ya hapo ni maumivu tuu
Congrats mmevuka kwenda hatua ya piliMalalamiko yako yana husiana na nini,?
Umejipa kazi ngumu sana msimu wote huu utakua mtu wa simanziHii ndio mechi ya mwisho Yanga kutoka uwanjani wakiwa wanafurahi, baada ya hapo ni maumivu tuu
Sema tena! Ha ha ha ha aha ...kama kwrli ni mshabiki wa mpira hiwezi kutouona uzuri wa Aziz Ki.Yanga wanamkosa mtu kama chama kwenye mechi ya leo the football brain aziz ki mmepigwa mchana kweupe kwanza hana utulivu kabisa.