No ni matokeo manneHamasa ni muhimu ila football ni lazima iheshimiwa.
Football ina matokeo matatu, kushinda, kupoteza au kutoka sare.
Wote mnaokwenda uwanjani nendeni na matokeo haya, msiende na matokeo yenu mfukoni.
Hii haiwezi kuwa ya leo bana
Mkuu naona jana ulikuwa mpolee sana ππ€£ππ Leo naona upo Ubuntu botho unatafuta furaha ila Leo furaha naona hautopata utaendelea kusonya tu ππHasara za uwaribifu wa uwanja serikali Ndio inalipa ila nyuma mwiko wao kazi yao kuachia meno tu
[emoji23][emoji23][emoji23]No ni matokeo manne
"Kuchekwa na mtani wako baada ya kufungwa"
Nipige ban tenaKuwa na adabu
Kabisa ofsaUtakuwa msimu mbaya sana kwetu mashabiki wa Simba iwapo Yanga itavuka nusu na Simba kuishia tena robo. Nikiri tu kuwa, tutakuwa tumepanga nyumba iliyopo dimbwini msimu wa mvua. Ni kroooo kroooo.
Wewe uchelewagi kukimbia hapa ngoja baadae uwoneHii haiwezi kuwa ya leo bana
Kwa jezi hizi aweee!!! mbona naziona goli 10
HahahaKabisa ofsa
Ndio maana matokeo ya jana nimeyachukulia easy kwasababu najua ili niumie hiyo itategemea na matokeo yatavyokuwa kwenye mechi hii.
Akisare tu Yanga nitajiskia vibaya sana yani roho itaniuma mno.
Akishindwa ndio kabisaaaa yani nitapagawa.
Akifungwa nitasahau kama jana namimi nilicheza.
Role model wa Chama leo simuoni hadi benchi??Kikosi cha Yanga kinachoanzaView attachment 2949331
Tulia weweNipige ban tena
Hadithi za mtume ni uzushi,khalifa ummar,Kama unamjua alipiga marufuku huo uzushi, khalifa Abu bakr hakuuendekeza,aliona umeja uzushi na haukua muongozo wakeNi hadithi za mtume mkuu.ππ
Hata benchi hawapo inaonekana majeraha yao yalikuwa serious.Hii kikosi mpaka nimeogopa, hakuna Aucho wala Pacome duh