MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Kejeli hiiYanga ya kimataifa
Muliokuwa na possession kubwa jana kipindi chakwanza mulikwisha kojolewa...Wacheni wivu,hahahaha.Usimaindi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tulizanaa bhanaa.Kama jana ulifungwa uwezi ona
Halafu utashangaa Masandawana anafungwa
Wajinga kama nyie hamkosi.... Simba Ina kipi Cha kusema? Hatua hizi imewahi kufanya nini?.yanga wawe makini naona wana mengi ya kujifunza kwa simba hasa katika hatua kama hizi
Kwani wamekosea wapi mpaka muda huu??Sasa hao wamewekeza kuliko yanga mbona watu wao sasa wanashindwa kuitendea haki investment value yao
Hakika Hapa Najua Gamodi Atarudi Kwa Kasi Dakika 15 Za Mwanzo Tukikosa Goal Hapo Basi Tutaendelea Kucheza Kwa Discipline Kama Kipindi Cha Kwanza.Laiti tungekuwa na vile vifaa vitatu kwa pmj leo wangesahau kucheza amapiano
Mamelod hawana maajabu mbona wepesi Basi tu htuko makiniDah! Kwa Kikosi Hiki Cha Mkude Kuanza Tumejitahidi Nawapa Pongezi Sana Wachezaji
Ulitegemea underdog uto amiliki asilimia ngapi?Hahaha 73.3 Vs 26.7
Basi tusubiri mpaka Mwisho Mtakuwa na Possesion ndogo na Bado mtapigwa tuMuliokuwa na position kubwa jana kipindi chakwanza mulikwisha kojolewa...Wacheni wivu,hahahaha.Usimaindi
76 kwa 24 π€£π€£π€£π€£Yanga ni bora sna..simba mda Kama huu Jana ushalia[emoji24]
mkubwa ni aliyekutangulia nduguWajinga kama nyie hamkosi.... Simba Ina kipi Cha kusema? Hatua hizi imewahi kufanya nini?.
Mechi ya makocha wa mpira wa kwenye madaftari.Match Day 1st Leg.
Robo fainali
Yanga vs Mamelodi
Muda ni Saa 3 Usiku.
Kuwa hapa nami kwa update za kabla na wakati wa mchezo
Mchezo umeanza
10' Mchezo bado una Kasi ndogo, timu zinasomana
20' Wageni wanamiliki mpira muda mwingi lakini Yanga wanafanya mashambulizi ya kushtukiza
27' Yanga wanafanya shambulizi Kali, shuti la Musonda linadakwa
30' Mchezo unaendelea kwa ushindani mkali
31' Shambulizi lingine langoni kwa Mamelodi lakini kipa anaudaka mpira.
32' Mapumziko ya dakika moja
42' Mamelodi wanapiga shuti la kwanza golini
45' Zinaongezwa dakika 3
MAPUMZIKO
Watu wanajifanya wanasahau kama hii ni champions leauge tena ni hatua za mtoano hakuna mjinga anayetaka kuruhusu Goli nyingi kipumbavu Tena kwenye Round kama hii kama wanataka Burudani wasubiri Mechi za LigiBahati mbaya haya sio maonyesho ni game za maamuzi,nadhani wanacheza hivi kwa malengo maalum
suis-je encore belle πet oΓΉ Γ©tais-tu beau, tu me manques Γ©normΓ©ment