FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Match Day 1st Leg.
Robo fainali

Yanga vs Mamelodi

Muda ni Saa 3 Usiku.

Kuwa hapa nami kwa update za kabla na wakati wa mchezo

View attachment 2949337
Kikosi cha Yanga

View attachment 2949372
Kikosi cha Mamelodi Sundowns

Mchezo umeanza
10' Mchezo bado una Kasi ndogo, timu zinasomana
20' Wageni wanamiliki mpira muda mwingi lakini Yanga wanafanya mashambulizi ya kushtukiza
27' Yanga wanafanya shambulizi Kali, shuti la Musonda linadakwa
30' Mchezo unaendelea kwa ushindani mkali
31' Shambulizi lingine langoni kwa Mamelodi lakini kipa anaudaka mpira.
32' Mapumziko ya dakika moja
42' Mamelodi wanapiga shuti la kwanza golini
45' Zinaongezwa dakika 3

MAPUMZIKO
Mechi ya makocha wa mpira wa kwenye madaftari.
i.e. Textbook Football
 
Bahati mbaya haya sio maonyesho ni game za maamuzi,nadhani wanacheza hivi kwa malengo maalum
Watu wanajifanya wanasahau kama hii ni champions leauge tena ni hatua za mtoano hakuna mjinga anayetaka kuruhusu Goli nyingi kipumbavu Tena kwenye Round kama hii kama wanataka Burudani wasubiri Mechi za Ligi
 
Back
Top Bottom