kibonde al ahly tena![emoji44] kweli utopolo utopolo tu hata azaliwe ulaya.Haya matokeo watu hawatalala walijua kwakuwa wao wamefungwa na huyo kibonde basiiiiiiii na yanga hii ya moto itafungwa.... Mara ooooh Mamelod wanacheza kama ps nyenyeeeeeee mmeyabana mbupu zenu kama naniiiii [emoji39][emoji28][emoji28]. Jana na Leo na kesho mpk mwezi huu uishe ntanenepa maana ni mwezi wa mateso kwa Mwakarobo [emoji28]
Acha ushamba basi kama wewe ni mwanachama wa Yanga weka kadi yako hapa na Mimi niweke yangu unajua nimeteseka vipi leoUongozi unahusika Vipi na benchi la ufundi?
Mbona unaleta mambo ya ajabu?
Wakati Yanga inatambulisha timu tulicheza na Kaizer Chief na vikosi viwili tofauti kila kipindi, wewe ulikuwa wapi?
Hauna hoja kabishane na mashabiki wa Ali Ali na wewe jana ulipata ngapiWe umedraw mi nimefungwa point unazo ?
Sana tuMimi sio shabiki wa Yanga Wala Simba Huwa naangalia Mpira tuu.Ukweli ni kwamba Yanga hawsi Ngunga Mamelodi,Simba anaweza shinda kule maana statistics zinambeba.
Tofauti iko wapi ? Mi nimefungwa sijafurahi?we draw umefurahia?Nyie mmefungwa mi nime draw mbona tofauti iko wazi mkuu
sasa attempt 100 goli 0 ndo umefanya nini? au kwasababu aucho hayupo[emoji3] utopolo bana.Yanga imecheza pira lakikatili mno, masandawana nakuambia wanaenda kujiuliza mara saba saba kama watatoboa nusu maana ishaanza kuiingia mapichapicha. Yanga hajukaa na mpira sana lakini tumeongoza attemps on goals pamoja na shots on target kitu ambacho ndio muhimu kuliko kukaa na mpira, yaani mpira ungekuwa dakika 120 masandawana tungewavalisha dera leo...makolo hii yanga inaennda nusu fainali penda msipende
ππ€£πππ
Wewe ulipambwa na wachambuzi uchwara na ukapigwa moyaTofauti iko wapi ? Mi nimefungwa sijafurahi?we draw umefurahia?
OkSawa sawa mkuu..
Ngoja niishie hapa maana naona hata jina lako linaleta utata
ππππ
Nimekusoma sana mkuu. Kuna mambo mengine huwa tunakalili tuu bila kujua deep asante kwa kuniongezea kitu πππππ
Mchezo wa leo mlichofanikiwa ni kuongoza kwa fouls na offsides.Wangizidiwa wangefungwa 5 basi
Watatumia mbinu gani nyingine?Ijumaa siyo mbali, najua watatufurahisha sana.
Hivi yanga na mamelodi nani alikua anajilinda? Yanga chance zote walitumia counter attacks na bado wakakosaa.Mamaa jana ulikua kimya wewe nimekushobokea sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Basi kama kucheza kimbinu leo Yanga alifanikiwa.Maana licha ya Mamelodi kumiliki mpira ila ana mashuti machache ya kulenga lango na Yanga ana mashuti mengi ya kulenga lango.
Pia licha ya key players watatu kukosekanika Yanga imehimili mziki wa Mamelodi.
Nadhani umetizama mpira umeona mwenyewe.
Mamelodi imeishia kupiga sana back pass.
Now wanasema tunashangilia sare π wakati wao walipigwa baada ya kudili na timu Yao mbovu wanadili na sisi Yanga scMashabiki wa Masandakolo wana hamahama na upepo tu walisema leo Yanga mnakula nyingi sasa wamehama kwamba tu mkienda kwao mtakula nyingi[emoji23]
Aly ni kibonde Hana form yake..... Kwani makundi nyie hamkuwa mnasema ni kibonde ππ.kibonde al ahly tena![emoji44] kweli utopolo utopolo tu hata azaliwe ulaya.
Mamelodi wamepiga mashuti mangapi na Yanga Sc wamepiga mashuti mangapi ππ€£Hivi yanga na mamelodi nani alikua anajilinda? Yanga chance zote walitumia counter attacks na bado wakakosaa.
Kuhusu mamelody walitawala dimba la kati, ila pale mbele leo shalulile na ribeiro hawakua na siku nzurii.
Nweiii pongezi kwenu, mmejitahidii.
Mbona hapa nyumbani kwako hujamfunga? Ndo ukamfunge kwake? Hebu nijibu kwan mtaniiiii.Hata game na Petro ilikuwa hivi hivi na shalile ndani [emoji16][emoji1787][emoji23] yaani Hawa wanaToa sare na piramid kwao wanifunge mie