Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Dharau ZimezidiNawaona wajinga. Huwezi dharau mpinzani kwa kiwango hichi na upo ugenini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau ZimezidiNawaona wajinga. Huwezi dharau mpinzani kwa kiwango hichi na upo ugenini.
Ni lolote Baya liwakute Mamelodi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Japo Mimi Ni Simba kusema kweli hio move ya musonda angekua pacome ingekua habari ingine pia move za Max angekua pacome tungekua tunazungumza mengineo muda huu..
Still:
Mtani lolote baya liwakute [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziiiiiiii unaonaaa hii mbungiii??Mimi nachekaga maoni haya utasema wachezaji wako online sahiz wanaona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizana uduguuu. Heka heka ya nn??Mamelodi wanapigwa leo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hkn timu hapa Ni matapeli ttuMechi imekuwa mbovu , Mamelodi wanapooza mpira kupunguza presha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mmeshaanza, Lol
wakawaida au wew ndio unashindwa kujua plan yao Ni nin
Majinga. Wanaweza poteza kwa huo ujinga. Yanga si wa kuwadharau hivyo.Dharau Zimezidi
Ni wanakuzwaa ila hkn maajabu kbsaa ni matapeli wazoefu
Liwakute nyuma mwiko😂😂😂Ni lolote Baya liwakute Mamelodi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hakuna timu leta matokeo ya timu yakoHkn timu hapa Ni matapeli ttu