Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaa ila nyie jamaa!!!wachawi sana Simba.Muna roho ya Kindi sana.Basi tusubiri mpaka Mwisho Mtakuwa na Possesion ndogo na Bado mtapigwa tu
Kwakwel mimi nafuatilia hapa Jf tu sijaangalia..Umeonaje HT?
kuna huzuni kubwa nyuma ya hizi emojiYangaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Timu ya Kimataifaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Mamelodi hawana Mpango wa mechi ya Leo,wao watamaliza mechi kwao Kwa Nguvu zao zote.Hakuna walichikosea sema mdau hapo juu anadai eti Mamelod wanapata shida kwakua wamekutana na Yanga ambayo ni ya hovyo kwahiyo ndio sababu wanashindwa kuonyesha ubora wao. Ndio nilikua namjibu
Nyie mna Roho Nzuri Mkuu???Daaaa ila nyie jamaa!!!wachawi sana Simba.Muna roho ya Kindi sana.
Kubatuliwa ni rahaa mnoo, vipi nawee unatakaa?Mtoto mzuri ila unapenda kubatuliwa
Possession inatokana na idadi ya jumla ya pass zote kugawanywa kwa pasi za kila timu kisha zidisha mara asilimia 100..
😅😅😅🤣🤣kuna huzuni kubwa nyuma ya hizi emoji
Mimi mechi ya jana imenifanya nistaafu ushabili damu, mtu unaweza kufa kizembe ukiwa hujatubu dhambi hata moja.First half nilikua natetemeka kama jenereta.
Ushabiki huu
Wanaocheza leo ni misukule?yaoyao,pacome na aucho!
Game imechezwa kwa akili sana, japo kuna raia wanataka Yanga au Mamelodi wafunguke aggresively..sio rahisiKama Kuna mtu hajaona nidham ya Yanga kwenye uchezaji Leo basi aachane na mpira
45 Yanga wamecheza vizuri mno tena wamecheza kwa knock out game sio league safi sana
AahaaaaKocha wao kaona noma kajituliza zake bench zarau zake zimekwisha
Hii timu Ni overrated sna ila Haina maaajabu
Jana aliyemiliki mpira alikula kichapo,kuwa mpole uone dk 90 msauz anatoka kichwa chini.Ulitegemea underdog uto amiliki asilimia ngapi?
Sikuamini kabisaaa doktaMkuu Nimekusifia wakimayaifa mna Pira safi sana 😅