FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Yanga kudraw Makolokolo wanawewesekaaa 🤣🤣🤭bwahahahahahahahahah!
Na ijumaa mnalooo venye mlishajikatia tamaa aaaaawwww!
Poleni sana

Cc Smart911
 
MUNGU ANAJIBU MAOMBI JAMAN YAAN SIO KWA MOTO ULE WA MAMELODYNAHABAR ZILIZOTUFIKIA WANA MAJERUHI WAWILI MOTO WATACHEXA MARUDIANO TUJIPANGE NA AZIIZ WETU WA SINDANO

 
Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.

So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.

Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Wewe endelea kumshangilia Samia huku huna ujuacho. Wale jamaa baada ya kuwafunga goli 1, wakawaacha mrukeruke weeeeee hakuna hata cha maana mlichocheza.

Leo baqda ya kukosekana kwa wachezaji wake muhimu, Yanga imecheza kimbinu na utulivu zaidi.
 
Yaani nyie mmecheza na timu ambayo wachezaji wake wawili majeruhi key plauer umepigwaa, sasa subiri Dieng arudi uone utakavyo pasuka vizuri,Misri unazani watacheza kama walivyo cheza jana.
Mimi sio shabiki wa Yanga Wala Simba Huwa naangalia Mpira tuu.Ukweli ni kwamba Yanga hawsi Ngunga Mamelodi,Simba anaweza shinda kule maana statistics zinambeba.
 
kocha badala ya kushambulia yeye kaja na mfumo wa ku defense daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpira sio rahisi kama unavyofikiria, approach ya kocha ilikuwa sahihi sana na nafasi zilipatikana ila umaliziaji ulikuwa hovyo. Mzize kapata nafasi kashindwa kuzitendea haki.
 
Kumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.

Ila.kwa Yanga ,wakicheza walivyocheza hivi na lazima wacheze hivi Kwa sababu wamezidiwa sana na Memelod ,kitu Cha maana wanaweza kufanya ni kwenda kupunguza magoli ya kufungwa.
Sijui kwanini huna akili
 
Aiseee leo boli limepigika tena sana.
Leo ndio kulikua na mpira aisee.
Japo hakuna siku moyo umenidunda kama leo,kazi ilobakia ni kurudi S.A.
Try again anasema kama waneshihda kwao why not us.

Hahahaaa na siisi tumedrw Leo tusemeje
 
Wewe endelea kumshangilia Samia huku huna ujuacho. Wale jamaa baada ya kuwafunga goli 1, wakawaacha mrukeruke weeeeee hakuna hata cha maana mlichocheza.

Leo baqda ya kukosekana kwa wachezaji wake muhimu, Yanga imecheza kimbinu na utulivu zaidi.
Wakawaacha kina nani? Nilisema Toka mechi Inaanza kwamba Yanga hawezi shida mechi ya Leo maana alizidiwa.
 
Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.

So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.

Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Au sio! Shida ya simba hua inaanzia hapa. Mna rundo la matatizo ila hua hamtaki kukubali
 
Kumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.

Ila.kwa Yanga ,wakicheza walivyocheza hivi na lazima wacheze hivi Kwa sababu wamezidiwa sana na Memelod ,kitu Cha maana wanaweza kufanya ni kwenda kupunguza magoli ya kufungwa.
Wewe ktk mechi zako ulicheza Misri na Al Ahly lini ulifunguka ww,funguka hovyo hovyo uone utakavyo kula mkono.
 
Back
Top Bottom