Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuitia sis Joha 🤣🤣🤣🤣🤣Mwanamke mjingahh jf
Wewe endelea kumshangilia Samia huku huna ujuacho. Wale jamaa baada ya kuwafunga goli 1, wakawaacha mrukeruke weeeeee hakuna hata cha maana mlichocheza.Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Mimi sio shabiki wa Yanga Wala Simba Huwa naangalia Mpira tuu.Ukweli ni kwamba Yanga hawsi Ngunga Mamelodi,Simba anaweza shinda kule maana statistics zinambeba.Yaani nyie mmecheza na timu ambayo wachezaji wake wawili majeruhi key plauer umepigwaa, sasa subiri Dieng arudi uone utakavyo pasuka vizuri,Misri unazani watacheza kama walivyo cheza jana.
Mpira sio rahisi kama unavyofikiria, approach ya kocha ilikuwa sahihi sana na nafasi zilipatikana ila umaliziaji ulikuwa hovyo. Mzize kapata nafasi kashindwa kuzitendea haki.kocha badala ya kushambulia yeye kaja na mfumo wa ku defense daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aahaaaaa aMamelodi kusafiri umbali wote na bus halafu hawajafunga?? Na mavyakula waliyobeba warudi nayo 🤣🤣🤣🤣
Hongera kwa kushinda possession
Mwite 🤣🤣na bodaboda wote jfNitakuitia sis Joha 🤣🤣🤣
Da kipe ww nawe kolo?? Naona umeibuka dk za mwisho
Sijui kwanini huna akiliKumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.
Ila.kwa Yanga ,wakicheza walivyocheza hivi na lazima wacheze hivi Kwa sababu wamezidiwa sana na Memelod ,kitu Cha maana wanaweza kufanya ni kwenda kupunguza magoli ya kufungwa.
Try again anasema kama waneshihda kwao why not us.Aiseee leo boli limepigika tena sana.
Leo ndio kulikua na mpira aisee.
Japo hakuna siku moyo umenidunda kama leo,kazi ilobakia ni kurudi S.A.
Wakawaacha kina nani? Nilisema Toka mechi Inaanza kwamba Yanga hawezi shida mechi ya Leo maana alizidiwa.Wewe endelea kumshangilia Samia huku huna ujuacho. Wale jamaa baada ya kuwafunga goli 1, wakawaacha mrukeruke weeeeee hakuna hata cha maana mlichocheza.
Leo baqda ya kukosekana kwa wachezaji wake muhimu, Yanga imecheza kimbinu na utulivu zaidi.
Na ole wao watupe njiani tutawaita wazoeAahaaaaa a
Acha yawadodeee
Unadhani ukisema hivyo ndio itabadilisha matokeo? 😁😁😁😁Sijui kwanini huna akili
Hongereni kwa uto kushinda drawMara oooh Ball posession mmezidiwa kwa hiyo mtafungwa....
Mara oooh kwa kikosi cha leo mtakoma....
Mara oooh Mamelodi ni bonge la timu.....
KIKO WAPI SASA?
Heshimuni soka linachezwa uwanjani, sio mdomoni
Au sio! Shida ya simba hua inaanzia hapa. Mna rundo la matatizo ila hua hamtaki kukubaliBaada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Wewe ktk mechi zako ulicheza Misri na Al Ahly lini ulifunguka ww,funguka hovyo hovyo uone utakavyo kula mkono.Kumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.
Ila.kwa Yanga ,wakicheza walivyocheza hivi na lazima wacheze hivi Kwa sababu wamezidiwa sana na Memelod ,kitu Cha maana wanaweza kufanya ni kwenda kupunguza magoli ya kufungwa.
Aliingia kuzuga mechi.Hivi Kibabage kagusa ball?