Kabisa kabisaNi kawaida kwa watoto kuweka kumbumbuku kwa mambo yaliyopita, utasikia wanatambishia wengine.... "tulikula ubwabwa kwa khanji Bay.."
Hawajui kuwa huyo Khanji Bay mwenyewe huo ubwabwa huwapa hadi mbwa wake 😂😂
Utoto raha sana, waache watambe ila siku wakikua wataacha tambo zao za kitoto
Mtanni relaaaaxNyie Kigoma mmeshinda ngapi?
Waliloga haswauchawi wa kipa wa dodoma
Unajilinganisha nao kwa lipi? Sasa ss mbona tuliwapiga horoya 7 umeshasikia tunabwabwaja?Kwahiyo Wazungu ndio umeona wa maana sana. Huoni Man U wanakumbushiaga zile 8 walizompiga Arsenal? Kwanini mmefungwa 5 nyie RAGE FC?
Nyie mmeshaujambia huo uwanja haufai...hao Dodoma waloge saa ngapi uwanja,wenu huoWaliloga haswa
Daimambele!⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku.
View attachment 2894502
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa Dodoma anapewa kadi ya njano
Dakika ya 30
Bado 0-0
Dakika ya 35
Yanga SC wanapata Kona ya 2
Wanashambulia sana pacome na musonda wamekosa nafasi ya wazi kabisa
Dakika ya 37
Lomalisa anapiga mpira mzuri ndani ya boxi ya Dodoma jiji inamkuta musonda anapiga kichwa kinaenda nje ya uwanja
Dakika ya 40
Bado 0-0
Dakika ya 44
Musonda anafanya Madhambi na anapewa kadi ya njano
dakika ya 45 niongeza 6
yanga wanashambulia sana musonda anakosa nafasi ya wazi dakika ya 47 mchezaji wa Dodoma jiji anapewa kadi ya njano
View attachment 2895331
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 50
Bado 0-0
Dakika ya 55
Musonda anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 60
Pacome anakosa goli
Yanga SC wanapata Kona ya 5
Wanafanya mabadiliko hapa
Anatoka musonda anaingia mzize na anatoka mkude anaingia mudathir
Dakika ya 65
Bado ni 0-0 Yanga SC wanapata Kona ya 6 guede anapiga mpira kichwa unaenda nje
Dakika ya 70
Bado 0-0
Dakika ya 75
Bado ni 0-0 Yanga SC wanashambulia sana wanapigwa Kona ya 11
Dakika ya 82
Mzize anapiga kichwa kikali kipa anatoa Kona ya 12 inapigwa hapa musonda nae anapiga kichwa kipa anatoa hapa
Dakika ya 85
Gooool mudathir anafunga goli hapa kapokea pasi nzuri sana kutoka kwa pacome
Dakika ya 90 niongeza 5
Full time
View attachment 2895387
Ndio haijaharibika... Pole zako🤣Na Siku yako iharibike tu.
Hakuna namna
Msh*nz* kweli lkn Mungu ni mwema tumeshinda sasaKadi zake zote za kuchelewesha mpira.
Unasemaje sasa Mkuu?Mbona ulituambia ushindi upo, vipi tena?
Hapo ndo huwa nawaza sana fikra za Kiongozi wao Injinia. Kutwa kujinasibu kuwa na utawala Bora sio uongozi Bora ila timu yake ndo inaongoza kwa kupita milango isiyoruhusiwa na kuwaza ushirikina TuHilo li mzeze ni jinga..wanawaonea sana timu hizi wakati jujui wao ana mtaulo huwa anauweka pembeni...Manula ana mtaulo mbona huwa hawaitoa mtaulo wa kipa wa Simba?
Tuma salamu kwa watu watatu.Ushindi wa Uto upo kwa Diarra
Yani pale mazindiko yamelala...Hapo ndo huwa nawaza sana fikra za Kiongozi wao Injinia. Kutwa kujinasibu kuwa na utawala Bora sio uongozi Bora ila timu yake ndo inaongoza kwa kupita milango isiyoruhusiwa na kuwaza ushirikina Tu
😁😂🤣Pole sana mtani hii Mimi ilinikutaga juzi kwenye mechi ya mali ile aisee mchezo wa mpira ni mchezo wa mokosa sana😁😂😂Niko na mr tunaangalia mechi basi tunafurahia dkk zinasonga huku tunaomba wadroo sasa ile hali ya kuomba hilo...
Aisee roho mbaya inatesa sana... 😂 😂😂
Matikikiti kudondokeaaaa😁🤣🤣🤣Inaitwa matikiti kudondokaa
Kwa hio taulo ni uchawi?Hilo li mzeze ni jinga..wanawaonea sana timu hizi wakati jujui wao ana mtaulo huwa anauweka pembeni...Manula ana mtaulo mbona huwa hawaitoa mtaulo wa kipa wa Simba?
Wewe umeona taulo Tu. Hata baada ya taulo kutolewa bado alikuwa anapekua pekua golini. Ushirikina Tu hakuna lingineKwa hio taulo ni uchawi?
5imba ina chakujifunza kwa Dodoma jijiInaitwa..
Chupuchupu