Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule ukoloni kulikua kina Ngoma ndio walipelekea mkala kono la nyaniPoints 3 za bahasha tena. Tuna watu wetu kule .. akina Yondani, Mahadhi na alma mater wengine wa Uto
Kila la kheri Yangaaa 💚💚💚💚💚💪
Geita 3
Saa 2 dk 15 usiku.Dah game inaanza saa ngapi?
Bado hamjasemaaaa.Toka yanga aanze kuchezesha majini soka limepoteza ladha kabisa...
Wala mihogo mambo vipi?Go go Yanga
Hamieni BurundiMajini kazini tena ..ubwege tu.
Kama nyie Mbangula alivyo-wabahashaPoints 3 za bahasha tena. Tuna watu wetu kule .. akina Yondani, Mahadhi na alma mater wengine wa Uto
Aucho kaanza mazoezi Mamelodi sundowns watamkuta yupo fitKatika mechi ya leo nadhani tutaendelea kumuona SureBoy akiendelea kutumika kwenye nafasi ya kiungo kutokana na injury ya Aucho. Nategemea kumuona Mudathir akicheza kama double pivot na Sureboy huku mbele yao akicheza Aziz Ki kama namba 10. Hii ndio nafasi ya nzuri kwa Sureboy kuendelea kucop na timu hasa tunapoelekea kwenye mechi ngumu dhidi ya Mamelod maana sina hakika kama Aucho atakua amerudi na hata akiwa amerudi sidhani kama atakua fit kucheza