kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Nenda ukacheze weweMechi mbovu kuwahi kutokea
Pua,pua puaaaaYes we can,
Together with KMC
Mapenzi na mkeka huwa haviendani?Kwa maslahi mapana ya mkeka wangu leo sina budi kua msaliti, hela kwanza.
Refa wapige kadiYanga wanacheza rafu sana
Huku umeme umekata, nahisi kunq mgawo fiche wa umeme. Majuma mawili sasa, umeme kuaktika muda unaotaka na kurudi muda unaotaka imekuwa kawaidaYanga inacheza faulo
Aanze kukalia mbao ndefu, kwani shida nini!Kisinda Yanga wamepigwa vibaya sana
Kwamba “walifluku” ?Taratibu hii mechi naiona inakuja kuonesha uwezo halisi wa wachezaji ambao walisifiwa baada ya Derby