Mzee Mpili yumo humo .. haonekani tu. Huwa ni mchezaji wa 12 kwenye mechi za Utopolo FCYanga wamekoswa goli hapaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila TAneScO[emoji25]
Hapa nipo gizani yaani😡😡Ila TAneScO😪
Una Nongwa gani na 'Maharage' Chande....!Ila TAneScO😪
Faida KMC katikati hawapigi kiatu zaidi wanajituma tu kuziba njia.
Aje Mauya chini kucheza na Bangala, juu acheze Bigirimana atoke Ambundo