FT: Yanga SC 1-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC '22/'23 | Benjamin Mkapa Stadium

FT: Yanga SC 1-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC '22/'23 | Benjamin Mkapa Stadium

Israh Mwenda nilikiwa nam underestimate kimakosa sana
sasa hivi ana gain siku baada ya siku,sasa Kapombe anaenda kupata msaidizi aliye sahihi.
mimi nalia na Kiungo Punda bado sijafurahia uchezaji wake.
 
sasa hivi ana gain siku baada ya siku,sasa Kapombe anaenda kupata msaidizi aliye sahihi.
mimi nalia na Kiungo Punda bado sijafurahia uchezaji wake.
Yule dogo hapana, kashindikana

Wazee wa Yanga lazima watamuwekea vikao
 
Kwani hivi unajua kuna kitu huwa kinawaingia wachezaji bila wao kujua ee sasa kwanini Okra alikua anashindw kutoa pasi kwa mtu alie kaa kwny position nzuri?
 
Simba hakusema kama anatumia hii mechi kujipima kimataifa,bali Uto ndo walisema hivyo kupitia msemaji wao ndugu Ally Kamwe.
Na baada ya Yanga kutolewa kimataifa waliaminishwa na uongozi wao kwamba wanakuja kuwafunga Simba ili kuwafuta machozi mashabiki.

wewe hufatilii haya mambo minafatilia.
Kwahiyo Simba hawakutaka ushindi mechi ya leo?

Hivi akili zenu zipo nchonyoni?
 
Back
Top Bottom