Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tia maji tia majiLol. Kwani umeonaje Mtani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tia maji tia majiLol. Kwani umeonaje Mtani?
mulitaka tupigwe nyingi kama nyinyiTuchonge nini
Kwamba tumefungwa. 😂😂Tuchonge nini
Nyingi ni ngapimulitaka tupigwe nyingi kama nyinyi
Tarehe 8 sio mbali eti.Tia maji tia maji
Pacome yupo ivory cost anashulikia passporttumejitahidi sana, tulikuwa na uwezo kutoa droo. hivi pacome kwanini huwa hachezi? au yanga wanaona wakimchezesha watapata fine, ana shida gani.
kumbukumbu yangu inanambia 5/6Nyingi ni ngapi
Siku hazigandiTarehe 8 sio mbali eti.
Mimi ni Simba ila siiamini timu yangu kabisaaaa!Natamani sana kuiona Simba ikicheza.
Kama mimi yaaniNatamani sana kuiona Simba ikicheza.
Hizo chachekumbukumbu yangu inanambia 5/6
Tuwapige kama ngomaTarehe 8 sio mbali eti.
Una maoni gani juu ya mpinzani wako kuelekea msimu mpya?Tumeshawaona Wapinzani wetu sasa
Kabisa yaani. Wajipange.Tuwapige kama ngoma
Wanasema sijui Passport zimekuajetumejitahidi sana, tulikuwa na uwezo kutoa droo. hivi pacome kwanini huwa hachezi? au yanga wanaona wakimchezesha watapata fine, ana shida gani.