ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mwakani kiatu cha Guede!Mtachagua sasa kiatu achukue Baleke au Dube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani kiatu cha Guede!Mtachagua sasa kiatu achukue Baleke au Dube
Umelewa Nini 😂😁Mwakani kiatu cha Guede!
Karirini tuTimu Ile Bora wasije uwanjani hiyo tarehe 8 maana watapigwa wiki.
NinyamazeUmelewa Nini 😂😁
Sijaona Wakuchukua kiatuMtachagua sasa kiatu achukue Baleke au Dube
Huyu Pacome na Aucho katika mechi muhimu huwa hawapatikani, ofcz Pacome issue yake ni passport yake imejaa, so immigration huruhusiwi kuingia mgeni kama passport yako imejaa mana watakosa sehemu ya kugonga muhuri, kwahiyo ameenda kwao ku issue passport mpya.tumejitahidi sana, tulikuwa na uwezo kutoa droo. hivi pacome kwanini huwa hachezi? au yanga wanaona wakimchezesha watapata fine, ana shida gani.
Huko Egypt wamejificha tuKama mimi yaani
Yani sis utopolo tunafungwa na timu haina kombe la UROPA
Sisi utopolo GENGE la wahuni tu 🤣🤣🤣🤣🐸🐸🐸
Sawa mkuuSijaona Wakuchukua kiatu
Naunga mkono hojaStill the best 💚💛✌️
Sio kama majirani waliochezea sita utadhani ni netball.
Ndio maana nikasema hii ni Alert kwetu.Ni kweli!
Ila tukiacha mambo ya utani kwa ligi ya NBC kwa timu ya Yanga wapo vizuri ikiwa kama tukizungumzia kiushabiki wa mpira (si kiushabiki wa kitimu).
Timu yao ni kama huku kwetu watafanya mauaji vile!
AiseeBaleke anaingia anamtoa Chama
Kocha anataka kila mtu aondoke na lawama
Tuwache mmefungwaStill the best 💚💛✌️
Sio kama majirani waliochezea sita utadhani ni netball.
Mambo mengi , mechi siangalii ila nimepita humu mara Moja kutazama kinachoendelea nimekuta Makolo yanapeana faraja na yamerudi kutoka mafichoni kwa Kasi ya 5G.
🐸 FcMambo mengi , mechi siangalii ila nimepita humu mara Moja kutazama kinachoendelea nimekuta Makolo yanapeana faraja na yamerudi kutoka mafichoni kwa Kasi ya 5G.
Ulichokisema ni kweli!Ni kwa sababu hujaiona iwapo imeshakuwa timu au ni kikosi cha wachezaji tu. Wachezaji wapo ila hatujui kama kocha ameweza kuwafanya wakawa timu.
Tumefungwa ndio..... Kwa tabuTuwache mmefungwa