FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

FT: Yanga SC 1-2 Fc Augsburg | Mpumalanga cup | Mbombela Stadium | Saturday, 20 July 2024

Huyu Pacome na Aucho katika mechi muhimu huwa hawapatikani, ofcz Pacome issue yake ni passport yake imejaa, so immigration huruhusiwi kuingia mgeni kama passport yako imejaa mana watakosa sehemu ya kugonga muhuri, kwahiyo ameenda kwao ku issue passport mpya.
Mkuu nakusalimia.

Hii ni salam tu tumetuma upande wa pili.
 
Huyu Pacome na Aucho katika mechi muhimu huwa hawapatikani, ofcz Pacome issue yake ni passport yake imejaa, so immigration huruhusiwi kuingia mgeni kama passport yako imejaa mana watakosa sehemu ya kugonga muhuri, kwahiyo ameenda kwao ku issue passport mpya.
Ishu ya Aucho inafanana na Musonda, hawakuwepo kabisa benchi sababu ya fitness. Walichelewa kuanza mazoezi pamoja na wenzao.
 
Back
Top Bottom