Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #641
Mbona mie nipo 🤣😁Uto wametukimbia kimtindo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mie nipo 🤣😁Uto wametukimbia kimtindo!
Ni wapuuzi, hawajui Kama wadhalilisha Nembo ya timu? Asee huyu kipara ndio mimi sitaki kumuona na pua lake chongo.Huu mchezo ni wa benchi lote la ufundi jumlisha na kina Hersi Said
WameyatimbaNi wapuuzi, hawajui Kama wadhalilisha Nembo ya timu? Asee huyu kipara ndio mimi sitaki kumuona na pua lake chongo.
Naunga mkono hojaHuu mchezo ni wa benchi lote la ufundi jumlisha na kina Hersi Said
Tunapeleka PembaBado kipindi cha pili.
Mnazika au mnasafirisha?
Hoja ya hovyo sana. Kwa hiyo timu inakuwa na performance sawa kila mechi? Kwa hiyo unaona hii nayo iliyocheza leo ni timu ya maana kiasi kwamba haiwezi kuzidiwa na APR?Tutabishana hadi kesho hapa.
Hebu cheki game Yanga aliyofungwa na Ihefu.
Utizame na hii
Walisema Benchika hafiki Pasaka nahisi Kipara Valentine's day atakuwa kwao.Bado kipindi cha pili.
Mnazika au mnasafirisha?
Shindwa pepoMtashangaa kesho makolo wanafanya hivi hivi!!
Don't be surprised
Mudathir yahaya
Ni mimi John Maratu ItvvvvvvvvNamuona kitasa chetu hamis nanguka
Yanga 3
APR 1
Ndio mlizidiwa pumbavu sanaTutabishana hadi kesho hapa.
Hebu cheki game Yanga aliyofungwa na Ihefu.
Utizame na hii
ni mimi John Maratu wa ItvvvvvvviMiguel Gamond, tunaomba upange kikosi cha ushindi. Maana huo ushindi unatakiwa upatikane ndani ya dakika 90 za mchezo. Siku zote penati hazina mwenyewe.
haahahaaaaa hujaanza kuliaa tu ?Tukitolewa nitalia sana yaani sana[emoji24][emoji23][emoji1787]
umeona?Baadae tutaona kaka [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16]