FT: Yanga SC 2-1 Jamus FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 02/01/2024

FT: Yanga SC 2-1 Jamus FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 02/01/2024

Hey sikiliza kwani kusoma kichwa cha habari uwezi hapo juu au ni jealous tu unayo kama umeona ni Uzi uchwara mbona umekuja na kuandika next time ikiona Uzi haukufai ignore acha kuwa na wivu na chuki dhidi ya member wenzako sawa wewe
Lazima tuwashone members kama wewe.
Saa nane usiku unakimbilia kuanzisha uzi harakaharaka ili uwe wa kwanza.

Jifunze kwa kina OKW BOBAN SUNZU jifunze kwa kina Scars jinsi wanavyoanzisha nyuzi kama hizi.

Hata kama hukua na habari juu ya mechi husika basi, unakipata kila kitu papo hapo pasi na kuscrow au kuuliza.

Na siwezi kuona wivu, nione wivu kwa kuanzisha uzi kipuuzi puuzi namna hii.

Next time ukileta uzi wa namna hii na nikiuona basi tegemea comment yangu, eidha kusifu, kukosoa au kuchangia ulichokileta.
 
Lazima tuwashone members kama wewe.
Saa nane usiku unakimbilia kuanzisha uzi harakaharaka ili uwe wa kwanza.

Jifunze kwa kina OKW BOBAN SUNZU jifunze kwa kina Scars jinsi wanavyoanzisha nyuzi kama hizi.

Hata kama hukua na habari juu ya mechi husika basi, unakipata kila kitu papo hapo pasi na kuscrow au kuuliza.

Na siwezi kuona wivu, nione wivu kwa kuanzisha uzi kipuuzi puuzi namna hii.

Next time ukileta uzi wa namna hii na nikiuona basi tegemea comment yangu, eidha kusifu, kukosoa au kuchangia ulichokileta.
Ngapi ngapi huko???
 
Back
Top Bottom