ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Acha ujinga wako wewe! Hukubali nini sasa!Hii leo Sikubali yaani Dakika moja magoli.mawili
HUU UONGO SANA
πππ Na hapa bado hatujaenda kwenye uzi wake wa Kihasibu.Kazimia haamini alichokiona
Majini ni usajili Bora na uongozi Bora, uwezi kupanda bangi ukategemea kuvuna mahindi na umbumbu wenu ndio utakaowadidimiza miaka yote, mangungu apewe mingine mitano!Ile story ya majini kumbe ni ya kweli..
Mtakuwa mmetoa kafara sio bureOKW BOBAN SUNZU popote ulipo unahitajika huku huonekani kabisa na Tambo zako zile za mida Ile kikowapi?
SEMA KWELIYeah itaangaliwa head to head walipokutana au goal difference.
Hapa Mwarabu anahitaji goli 1 tu next match ashinde ili kuwaondoa hawa vyura wa Jangwani kwenye haya mashindano
Huku kimataifa ni kwa Simba tu
Ashinde 4-0Yanga anatakiwa Kushinda Ngapi? Ili awe sehemu nzuri ya Kufuzu?
πππ Na hapa bado hatujaenda kwenye uzi wake wa Kihasibu.
4Yanga anatakiwa Kushinda Ngapi? Ili awe sehemu nzuri ya Kufuzu?
Kwakweli sikujua hiliHaipo hivyo sasa.
Kwa saizi walipofunga magoli sawa ndio wanaweza kuangalia magoli kwenye mechi nyingine.
Ukweli ndio huoSEMA KWELI
Daima mbeleeeeeeeeeeπͺπͺπͺπͺπͺπππππ!Naona kuna lingine linanukia, ili mfurahi vizuri. Hongereni sana watani, mnaiwakilisha Tanzania vizuri.
Ule Uzi unachekesha, afu kuna ule wa Mayele Vs Kibu D π€£π€£π€£π€£πππ Na hapa bado hatujaenda kwenye uzi wake wa Kihasibu.
Aziz Ki alitaka kuongeza machunguMtakuwa mmetoa kafara sio bure