Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Ngumu sanaMediama akifa 6.
Mkipigwa na Al Ahly hamuingii
ok ngoja kesho nikaliweke kijiweni hili nisikie wadau wanasemajeH2h Yanga na Cr Belouzidad wote wameshinda nyumbani
Yanga ana advantage ya magoli 4 hivyo anapita
Ila ikitokea hapa Cr Belouzidad wakapata bao 1 tu basi matumaini kwa Yanga yanaweza kupungua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale wa Majini matokeo ndo kama haya jamani. [emoji23][emoji23]
Jiandaeni kualikwa tena Ikulu.kuna yule dofo faisal dogo atakuwa anasonya sana alipo
al ahly mwenyewe anachapika tunza hii komentiMediama akifa 6.
Mkipigwa na Al Ahly hamuingii
Unajua Waarabu wamekuwa mafala sanaWale wa kelele za Majini matokeo ndo kama haya jamani. 😂😂
Angalia wasije kukutukana tu 🤣🤣mkuu nimecheka sana
kwenye familia mm tu ndio yanga wengine wote makolo kesho nawapigia simu woteee
Mwehu huyoPole hujui kitu