Ila hujamtag Smart[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji123][emoji123][emoji123]
Popoma GENTAMYCINE sijui atakuja na porojo gani tena! Maana asubuhi baada ya dishi kuyumba, alianzisha nyuzi kama 5 hivi za kuiponda tu Yanga na wachezaji wake.Haya nendeni mka edit manyuzi yenu
Huyu ana roho mbaya sana mungu kamlaani huyoWewe jamaa Nina risiti zako kibao nasubiri nile hapa kwa Shemeji nianze kudili na wewe jumla jumla..
Mdo wako Genta ulimuonya sasa ameyatimba maana wiki hii ameanza dalili zake ,alikuwa anafyatua nyuzi hovyo kila saa sasa sijui ana Hali gani.Imagine Tp Mazembe naye kampiga Pyramid 3 bila!
Walipokutana nani alishinda na kwa magoli mengi zaidi.Maana yake?
Tutamfata mganga wa Yanga atupe mautundu.Ngojeni msifuzu muone
PoleMkuu unisamehe, mimi siwezi kukutakia hata droo tu. Upigweeeeeeee
Mtani hamna uchawi pale mwarabu Leo kapotea Kila kituItoshe kusema uchawi upooo walai...
Na siwakimbii nawakabili mmoja mmoja.Nyie si mmekalia kuichambua Yanga endeleeni hivyo hivyo
Unasemaje?Hatimaye...
Sasa nguvu tuweke kwa Simba nayo ipite...
Achana na uganga kaka Yanga SC timu wanayo embu ongeeni ukweli msikimbilie kwenye uchawiTutamfata mganga wa Yanga atupe mautundu.
Tuko radhi kuingia kwenye pitch na power bank kuanzia miguuni mpaka kiunoni
Yani ni balaaa...aisee mganga wenu hadanganyi...Mtani hamna uchawi pale mwarabu Leo kapotea Kila kitu
Utachezaje hivi wakati umeshaambiwa wanacheza hapo ni majini sio watu.Hivi simba kinawashinda Nini kucheza angalau hata Mchezo wanaocheza Yanga hata nusu Yake tu
Wanaangali head to head mkuu Yanga kashaenda robo mkuu