cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kile kisimu cha mudathiri ndo kijini kile...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kile kisimu cha mudathiri ndo kijini kile...
Uko wapi kwa sasa mganga njaa pengine ushaingia uvunguni ukiugulia maumivu makali sana kama mgonjwa wa bawasiri anae ukweka haja ngumu.yanga atashinda lakini atashinda jackpot ya mchongo pesa
Kwani we ile simu yako haikuharibika tu?Wewe jamaa Nina risiti zako kibao nasubiri nile hapa kwa Shemeji nianze kudili na wewe jumla jumla..
Ooh! Sawa Mkuu.Bado...
Mechi ya mwisho ni must win...
Lakini pia droo inaweza ikafaa...
Commenters tunaojaza uzi ndio sisiYAn sisi hatunaga jambo dogo. Uzi bado utaendelea kuwa juu hata ufutwe comments zote za humu
Sitii neno
KaziKweliKweli 😂Mufti kuku The Infinity ameiba avatar yako imempendeza kwerikweri, hivi anakuchukuliaje mkaldayo ?
Kiwete ni aliyefungwa 4 au 5 mkuu?Nawe sio kwasababu umebahatisha hapa ukaanza kupiga domo kisa tu kuwafunga viwete unafikiri ntakosa guts za kukujibu
🤣😂 😂 niliuhifadhi kwenye black box ni suala la muda Tu kabla ya kuvamia , ila siku ya leo nina MaFile mengi ya kuyafanyia kazi nadhani nitakuwa bize wiki nzima kufanya mashambulizi.Halafu kuna ule uzi nilikutag juzi ndugu yangu nao tukaufanyie kazi. 😂😂😂
Mmefika mara ngapiiii? Hilo halikwepekiiii.Tushaifunika historia yenu ya kufika robo fainali, sasa ni muda wa kuweka ya kwetu fainali pumbavuuuuuu.Haya sasa mida ya kuzitafuta thread zenu za kinafiki mlizo ziandika kabla ya mechi.
Kwani nani ambaye hana timu?Achana na uganga kaka Yanga SC timu wanayo embu ongeeni ukweli msikimbilie kwenye uchawi
Ndumba hizi za waafrica sisi, tumeshindwa chukua kombe la dunia hata lile lililopigwa afrika kusini tu,?Ukijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...