FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Last season Kuna kauli ilitamba sana( wanakutana na timu mbovu.) What's now.
 
Ukijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...
 
Halafu kuna ule uzi nilikutag juzi ndugu yangu nao tukaufanyie kazi. 😂😂😂
🤣😂 😂 niliuhifadhi kwenye black box ni suala la muda Tu kabla ya kuvamia , ila siku ya leo nina MaFile mengi ya kuyafanyia kazi nadhani nitakuwa bize wiki nzima kufanya mashambulizi.

Siamini Mimi leo nimetingwa mpaka kumsahau ndugu Mwasibu mpaka sasa ,rekodi ya risiti za Leo ni nyingi kuwahi kutokea mpaka Popoma yupo kwenye list..
 
Tushaifunika historia yenu ya kufika robo fainali, sasa ni muda wa kuweka ya kwetu fainali pumbavuuuuuu.Haya sasa mida ya kuzitafuta thread zenu za kinafiki mlizo ziandika kabla ya mechi.
Mmefika mara ngapiiii? Hilo halikwepekiiii.
Yaan historia ya mara ngapi ktk kufika hiyo Robo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...
Ndumba hizi za waafrica sisi, tumeshindwa chukua kombe la dunia hata lile lililopigwa afrika kusini tu,?
 
Back
Top Bottom