FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

Ukijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...
Ana cheza namba ngapi Ally Kamwe? Hahahaha
 
Ukijua ni uchawi na ndumba zimetumika msikilize Ally Kamwe anasema tutaenda na hizi bleach Misri tukiwa tumeshavuzu...jamani Simba mmeingia kwny soka la kizungu mmeacha ndumba ona sasa haya mautopolo yatatukaranga...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada unanichekeshaa balaa.
 
Majini sometimes Yanakubeba...halafu yatakuja kukudondosha sehemu mbaya inapouma..!

Leo Utopolo majini Yamewafaa
 
Commenters tunaojaza uzi ndio sisi
Utajikuta wewe peke yako hucomment. Hakuna ambaye hafurahii huu ushindi hasa kwa mpira unaochezwa sio mashabiki wa Simba au Ihefu. Naamini hata wewe vidole vyako vinaisaliti nafsi yako
 
Back
Top Bottom