Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #1,181
Naunga mkono hojaMaumivu yakizidi pata ushauri wa daktari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaMaumivu yakizidi pata ushauri wa daktari
Platinum na CRB wapi na wapiHii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Tunategemea mjifunza nanyi mufike huko roboHii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Mmeshinda kwa kishindo ila kituambia tuna la kujifunza kutoka kwenu sahau kabisaHamasa na ushindi, Simba mna cha kujifunza mkiweka ujuaji pembeni.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni watani,mmepiga mpira mwingi sana,bila shaka yale magoli mengi kwenye ligi na FA haikuwa ya bahati mbaya ila kuwa na kikosi kizuri.
Mnaanza kutufanya tuanze kudeal na Magungu tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maumivu uliyonayo anayajua mtoa roho pekee.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Kwa mahesabu ya wapi?Mediama akifa 6.
Mkipigwa na Al Ahly hamuingii
Hahahaa. Lol
Hapo alipo anaandaa waraka nina imani atautoa muda sii mrefu.Popoma GENTAMYCINE sijui atakuja na porojo gani tena! Maana asubuhi baada ya dishi kuyumba, alianzisha nyuzi kama 5 hivi za kuiponda tu Yanga na wachezaji wake.
Mtaniii hebu tuachee sie tu deal na Galaxy, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa. Lol
Wanajulikana Ndugu Zetu Wale Wa Msimbazi Wanashangaa Wanataka Kusema Belouizdad Wabovu Kumbe Wao Walikula Chuma 5Nani kaumiaaaaaa
Nakazia. 😂😂😂Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari
Muda si mrefu nitapitisha tena bakuli ili mumchangie kwa ajili ya nauli ya kwenda kuchukua dawa. 😁Mdo wako Genta ulimuonya sasa ameyatimba maana wiki hii ameanza dalili zake ,alikuwa anafyatua nyuzi hovyo kila saa sasa sijui ana Hali gani.
Wapo kimyaaa leoWanajulikana Ndugu Zetu Wale Wa Msimbazi Wanashangaa Wanataka Kusema Belouizdad Wabovu Kumbe Wao Walikula Chuma 5
Wewe SASA ndio umeeleza Vizuri.Ngoja nikusaidie mkuu
CR akishinda atakua sawa point na yanga ambazo ni point 8 so kitakachoangaliwa nikati yao nan alimfunga mwenzake goli nyingi (head to head) ambapo yanga anagoli 4 na CR alimfunga goli 3 Yanga
Kwahiyo Yanga anapita kwa advantage ya goli 4 alizoshinda leo
Mashabiki wa Yanga wamevurugwa na wanasumbua balaaa.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] cheka tuu ndugu yangu ndo imeshakua sasa...