Maumivu uliyonayo anayajua mtoa roho pekee.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maumivu uliyonayo anayajua mtoa roho pekee.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Unasemaje?
Sijakuelewa!🤣🤣🤣
😂😁😁😂😂😂😂Mdo wako Genta ulimuonya sasa ameyatimba maana wiki hii ameanza dalili zake ,alikuwa anafyatua nyuzi hovyo kila saa sasa sijui ana Hali gani.
Hii mechi yenu bado file lake pale takukuru halijafunguliwaWewe ungekuwa nayo usingekubali kupigwa 5View attachment 2915087
Watu wanaomsifu walikuwa hawajui, alikuwa nichoyo mkubwa aliyekuwa anainyima timu ushindi kwa kuulazimisha bila kutoa assistMayele sijui atakuwa anajisikiaje huko timu yake imetoka kukandwa tatu na tp mazembe huku yanga imejikandia mtu nne bila
Maumivu uliyonayo anayajua mtoa roho pekee.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Mi hawanisumbui hata kidogo.....mimi huwa nakumbusha ya nyuma tuu...mnyama kashafanya zaidi ya haya...Mashabiki wa Yanga wamevurugwa na wanasumbua balaaa.
Hatulali leo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Nimecheka sana Mtani.Mtaniii hebu tuachee sie tu deal na Galaxy, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie si mshatimba tayari Robo? Tuwekeeni nafas hapo tunakujaaa.
Nilimsema humu watu wakasema wivu..mayele alikua mchoyo alitaka ajulikane mwenyewe...Watu wanaomsifu walikuwa hawajui, alikuwa nichoyo mkubwa aliyekuwa anainyima timu ushindi kwa kuulazimisha bila kutoa assist
Mmeanzaa kumnangaa mayelee sahivi, ila wabongo cjui mkojeee lolWatu wanaomsifu walikuwa hawajui, alikuwa nichoyo mkubwa aliyekuwa anainyima timu ushindi kwa kuulazimisha bila kutoa assist
Kajichanganya kuvaa mijezi myekundu. Yanga kajua anacheza na masimba, akawa anaitafuta 5-1Mwarabu Kajichanganya wapi aseee
Walai vile
Kwa hisani ya majini...
Kaka achana na coment zetu furahia ushindi...utavurugwa buree...Maumivu uliyonayo anayajua mtoa roho pekee.
Yani leo ndo nimeamini majini yana nafasi yake mtanj...Kula Chuma Hiyo Chezea Dar Young Africans Wewe
Golikipa tulikua hatuna Metacha hajui kuwapanga wachezaji wakeSijui zile 3 walitufungaje kule kwao, mpira tulicheza sana
Unajitahidi sana kumpambania mdogo wako tatizo dogo mbishi hatambui mchango wako na anadharau maagizo ya madaktari , uzuri kwamba huwa unatambua mapema dalili za awali na kurekebisha majambo kabla hayajakuwa mabaya zaidi.Muda si mrefu nitapitisha tena bakuli ili mumchangie kwa ajili ya nauli ya kwenda kuchukua dawa. 😁
Huko ujinini leo ni [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]Kwa hisani ya majini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi hatuna wasi wasi, yaan wydad hata ashinde 100, sisi jwaneng tunawakalishaaa na tunaingiaa roboo, mbona hata CAF wanajua na nafas yetu iko pale pale.Hahahaaaa. Nimecheka sana Mtani.
Yaani wenyewe ile dirooo ya jana mkajiona mshafuzu. Leo matumbo joto yameanza. [emoji23][emoji23]
Na bado tutawachawia sana siku hiyo.