Mtani inabidi muje mutuazime siku moja tuwagaie. ππMpira hawachezi binadamu unadhani kutakuwa na matokeo gani zaidi haya matani ππ
Hiyo kikweli mimi siiwezi kabisaTusimame kama taifa, timu 2 zipite makundi...
Wageni wawe wanaogopa kuja Tanzania...
Haaa na wimbo ulikua Yanga tujifunze kwa simba kucheza club bingwaHongereni Yanga.
Kwa hakika mmeweza.
Simba inabidi sasa tukajifunze kwa Yanga namna ya kufuzu na kutumia uwanja wa nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utachezaje hivi wakati umeshaambiwa wanacheza hapo ni majini sio watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani majini ni kweli yanafanya kazi...
Mje tuwape majiniTutamfata mganga wa Yanga atupe mautundu.
Tuko radhi kuingia kwenye pitch na power bank kuanzia miguuni mpaka kiunoni
ππππMwarabu Leo kajichanganyaYani ni balaaa...aisee mganga wenu hadanganyi...
Yaan pale mkakiazime ili mtoboe na nyinyiKile kisimu cha mudathiri ndo kijini kile...
Ndo hvoHapo nimeelewa Kwahiyo haitajalisha CR belouzad atashinda Magoli Mangapi?
Hata Akishinda 5!
Yaani akamzidi yanga Idadi ya Magoli ya Kufunga,Wataangalia tuu Head to head kati ya Yanga na CR belouzadad?
Head to head Yanga yupo juuSijaelewa kwanini wanasema Yanga Kashafuzu Robo fainali?
Sababu Bado Mechi moja na Al Ahly je Akifungwa halafu CR belouzdad akashinda dhidi ya Medeama?
Wanaangalia H2H kwa wao, sio match zingne.Hapo nimeelewa Kwahiyo haitajalisha CR belouzad atashinda Magoli Mangapi?
Hata Akishinda 5!
Yaani akamzidi yanga Idadi ya Magoli ya Kufunga,Wataangalia tuu Head to head kati ya Yanga na CR belouzadad?
Sijui zile 3 walitufungaje kule kwao, mpira tulicheza sanaKabisa Mkuu. Hajategemea mwarabu.