The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 390
- 670
Kolo wizard meza panadol ulale.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo wizard meza panadol ulale.Hii come back aliishaifanya Simba kwa platnum...hongereni kwa kujifunz kwa kaka zenu...
Mi hawanisumbui hata kidogo.....mimi huwa nakumbusha ya nyuma tuu...mnyama kashafanya zaidi ya haya...
Hatari sana leo...Huko ujinini leo ni [emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Olewa wewe mshangazi.Hakuna jipya mlofanya mnyama hajafanya...
Mayele huko alipo kimemshukaaa,mzee wa sukari kimemshukaaa
Tuliza kichwa unataka nikufurahishe? Hakuna ambalo mnyama hajafanya..usinilazimishe kuamka...Hebu Amka Toka Usingizi Utajikojolea Bure
Weee apiaaaaUtopolo kukandwa ni anikwepabo
Hiloooooooo!!Mkuu unisamehe, mimi siwezi kukutakia hata droo tu. Upigweeeeeeee
Njoo nikuoeOlewa wewe mshangazi.
Dokta we nenda kapunguze machungu kwa dem wako Mercy uliempora DeMostAdmiredInahusika nini na nyinyi kutoa Bahasha ili mshinde..
Kutumia Uchawi na Kugawa hela ili mshinde hakuhusiani na Taaluma yangu..
Kihasibu matokeo yamekaaje?Mkuu unisamehe, mimi siwezi kukutakia hata droo tu. Upigweeeeeeee
Pacooooooomeee anaweka chuma cha 5 dhidi ya thimbaaa.Wanategemea zali. Huwezi kupata zali siku zote