Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani imekuaje mwanakwetu waukae?Hatari sana leo...
Leo wapaka bleach ni mwendo wa kuchafua mashuke
Amber Fc
Yani kufuzu robo fainali moja tayari tuanze kuambiwa tujifunze kwa Gongowazi??OKW BOBAN SUNZU na Scars mjifunze kupitia kwa Yanga
Habari ya kwako huko ulipo kuna hali gani mda huu kumetulia au full shangwe?Hatutalala wiki nzima...hahahhah
Nimeedit wa ukae...Kwani imekuaje mwanakwetu waukae?
Muite OKW BOBAN SUNZU naona sikuoni tenaYani kufuzu robo fainali moja tayari tuanze kuambiwa tujifunze kwa Gongowazi??
Najua utapotezea quotes zangu ndio sababu unaandika hivi Mtani. 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi hatuna wasi wasi, yaan wydad hata ashinde 100, sisi jwaneng tunawakalishaaa na tunaingiaa roboo, mbona hata CAF wanajua na nafas yetu iko pale pale.
Bado huamini 5 ziliingia kihalali?Yani kufuzu robo fainali moja tayari tuanze kuambiwa tujifunze kwa Gongowazi??
Yani shangwe ziliongozana mpka nikawa sielewi maana sikua naangalia mpira..nikasema waarabu wanawala nini? Kumbe wao ndo waliwaaa...Habari ya kwako huko ulipo kuna hali gani mda huu kumetulia au full shangwe?
Kwanini Unassma wameshafuzu wakati bado Mechi ya Mwisho Al Ahly vs Yanga na CR belauzidad na Medeama
Vipi Yanga Akifungwa na Al Ahly halafu Beloizdad akampiga Medeama?
Ili Cr belouzdad ipite inahitaji kuifunga modeamahebu nidadavulie ndugu mi mzee
😂😂😂 Waarabu wanaliwa 🤣Yani shangwe ziliongozana mpka nikawa sielewi maana sikua naangalia mpira..nikasema waarabu wanawala nini? Kumbe wao ndo waliwaaa...
HIO haipo na haitokuja itokee 🤣Ili Cr belouzdad ipite inahitaji kuifunga modeama
goli 6-0
kisha Al ahly amfunge YANGA goli 2-0
hii si kamba kweliIli Cr belouzdad ipite inahitaji kuifunga modeama
goli 6-0
kisha Al ahly amfunge YANGA goli 2-0
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniiiii, mie nisijibu quotes why?Najua utapotezea quotes zangu ndio sababu unaandika hivi Mtani. [emoji23][emoji23]
Yakikufika hujibugi unapita kama huoni.
Hakuna hicho kitu.Ili Cr belouzdad ipite inahitaji kuifunga modeama
goli 6-0
kisha Al ahly amfunge YANGA goli 2-0