Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaYanga hamna timu hapa,siku zinavyoenda hirizi ndo inaisha nguvu
Niliwaambia tokea mwanzoCard ya mchongo
Jamaa kacheza rafu kweli lkn hata mim naona angepeta tuRefa anaharibu mpira
Unasikiliza kwenye redio?🤣🤣🤣Card ya mchongo
kama utaki kashuke filimbiCard ya mchongo
Mimi si Mshabiki wa Yanga lakini niwe mkweli...Saizi mtakuwa mmebaki wawili maana namimi nimeamua tu bora nisepe.
Na huyo mmoja usione amekomaa ukajua anafurahishwa na mechi, ni hivyo tu kwasababu ndio mwenye banda.
So inshort ni kwamba upo peke yako
Jamaa alidhamiria kucheza fauloHuyu mcenge alikuwa anataka kuvunja kabisa,yaani full miguu miwili.