Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #201
Hawa jamaa wanacheza sana rafu kama wale wadada wauza vijora na madera kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hata wewe tulikununua mara tatu umetupa RahaGSM 1 vs GSM 2 hii mechi ni kama bonanza
Mlihonga hadi kina Chama,Manula, Inonga tupate wenge vipi kijana,uwezo hamna ,ila kwenye bahasha mko vizuri7_2
Bado inawapa wenge mbumbumbu
Ni maelekezo kutoka GSM ili kadi nyingi zitoke, GSM vs GSM wanaelewana sanaHawa jamaa wanacheza sana rafu kama wale wadada wauza vijora na madera kariakoo
Hauna hoja mtani njoo na wewe tukununue tukufunge TenaNi maelekezo kutoka GSM ili kadi nyingi zitoke, GSM vs GSM wanaelewana sana
Chozi la kuzuga hajala MlungulaKocha wetu wa Mchongo, Analia unafiki.
Kwani tar 19 mbali? Kwa hii timu inayocheza hovyo? Hatuwezi kufungwa zamu hii na wasubiri penshenHauna hoja mtani njoo na wewe tukununue tukufunge Tena
InafikirishaYanga -GSM
Pamba -GSM
Singida black stars -GSM
Bahasha zitazunguka sana ligi kuu
GSM DERBYWakishinda Bahasha!
Wasiposhinda wameshuka kiwango!
Red card wamedhaminiwa na Gsm