Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Wao bado wanajitafutaVipi kuhusu kolowizard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao bado wanajitafutaVipi kuhusu kolowizard
Waanze na kibabage,bwege kabisa hana hadhi ya kuwepo yanga kwa sasaK
Kafanyaje
Kuna watu hebu dirisha dogo watoke hawana maana yoyote
Ataweka tu usihofuModerator weka 4 hapo
😁😂😁😁Huyu mchezaji kanikumbusha yule jamaa alizimia msibani huku kabeba kimfuko cha samaki.....
😄😄😄😄Huyu mchezaji kanikumbusha yule jamaa alizimia msibani huku kabeba kimfuko cha samaki.....
Kama hawana timu kwanini ulikubali wakugonge siku ya ngao kama wewe ulikuwa timu unayo mwanetuTechnically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu
Kwenye mkeka mod kaweka yanga under 3.5 😹Moderator weka 4 hapo
Kwa style hii kundi lolote, hawa ndio watakuwa vibonde tuUnataka Yanga wapangiwe nani ili ufurahi?
Usikimbie tu tukikutanaNazidi kufurahia udhaifu wa Uto
Wepesi sana mdau!Usikimbie tu tukikutana
Amecheza hivyo kwa maelekezo na ndio tunaita upangaji wa matokeoIla unakubali kuwa kacheza hovyo na si makosa ya refa?
Gsm anaharibu Ligi yetu hawa Pamba wanacheza huku wanatembea aisee nimeshangaa mnoo.Mchezaji kafanyiwa faulo nje ya box lakini kayumba yumba mpaka kaangukia kwenye box
Na refa kwa sababu ni sehemu ya script wala hata hakutaka kujiuliza mara mbili
masikini vyura hawana furaha papatupapatuNazidi kufurahia udhaifu wa Uto