Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kama tulivyojisifu 5 NovemberHalafu wanajisifu wameua
Azam kwa Yanga hawana madhara,Huoni Simba wanaukimbia? Mara Mwanza mara twende Unguja.....Yanga chamazi ni nyumbani kuliko hata Azam wenyewe πNaushauri uongozi wa Yanga utafakari kutumia uwanja wa Chamazi kwa MECHI ZIJAZO Sababu Azam nao wana timu na wanataka ubingwa hivo kutumia uwanja wa Chamazi mnakaribisha hujuma toka Azam FC.Na hata pia wale jamaa !
Nawasilisha
Kama ile mochwari ya 5 November kwa Mkapa.Bomu mochwari
Dah astaghafirullah ππ€£π€£π€£5imba kapata bimdogoπ€£π€£π€£
Marehemu kila baada ya muda hua anakumbukwa kwa kuombewa. So, relax bibie na uzoee!Mnatuchosha na hizo 5 timu inayojinasibu kubwa ambayo haitumii nguvu za ziada haiwezi imba goli 5 mwaka mzima mnakuwa washamba au ni majini kweli yalitumika mpk leo hamuamini....kitu ambacho mnyama alikua anawala tuu vitimu kama hivyo msimu uliopita...
Watasema wao bora kidogo maana walipata goli moja πππUtaratibu wa 5 bado unaendelea, ukitaka kusema mwenzio mbovu, Je wewe ulikula ngapi? joke π
Mkuu punguza psychological torture kwa Watanzania wenzio, wanaweza wasirudi jukwaaniKama timu yako haijapigwa 5G msimu huu nyosha mkono juu.
Round ya pili nawapiga 7Watasema wao bora kidogo maana walipata goli moja πππ
tuma location nikutumie moja la mahaba likuliwaze usiku huuMalimbukeniiiiii
Majini fc
Unaposema sisi sikuelewi. Jitambulishe kwanza timu gani?Sisi mwaka jana tuliwapiga sita, kama point ni ubora au ubovu basi ihefu nayo ni timu bora sana, au unasemaje hapo