Ndio muwafunge Waarabu kwa mpira huu?
Sahau
la 5 iloooLimebaki goli moja tu hawa police wafanane na kaka zao mikia tuliowazabua bao 5. Paka sasa police ni timu bora kuliko mbumbumbu maana bado mnara uko 4G
Sio lazima izaela 5 ilooo
wanazan n mafungu ya nyanyaWanabagain Penalty
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Upupu huo uwanjani....