Yeah!! Uto wanaudhaifu.Watatoka nao droo...
Weeee..π€·π€·π€π€π€Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Kama ule wa 5 NovemberUpupu huo uwanjani..
Yani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Soma hiyooo ...uongoo?? π πWeeee..π€·π€·π€π€π€
Kumejaaa kakaKuna nyomi?
Mi siongei na malimbukeni...Kama ule wa 5 November
Anazingua sanaMzize mzito sana
Ikawaje kombe likawashindaYani Yanga hakuna kitu wanafanya simba haijafanya..msimu uliopita tulimaliza ligi na magoli lukuki tena tulikua tunavichabanga hivi vi timu magoli mengi mengi 5,6,4...hatukua na kelele wao mayele wao akifunga kamoko au viwili baaasiii...ila yani wao sasa ki timu kama polisi ni kelele kitimu kilishajichokea kikashuka na daraja...vyura kweli kweli aisee..
Kumejaa?? LolπππKumejaaa kaka
Pole,najua unakumbukia zile 5G za 5 NovemberYaan nikiskia 5 sijui nahisi nini kuna fikra zinakuja na kuondoka