Usisahau Yanga tuna wachezaji wengi Wakongoman waliokuwa wakicheza katika klabu ya As Vita.Ukifungwa utakimbia humu. Leo tutaona bamutu ya Kinshasa,Bukavu ikipiga sebene Shadeeya
Pole kwa yaliyo wakuta juzi kati ulikua una bwabwaja kwamba kwenye kupigwa gwara msha toka umeona jana? Nyie ni wa kawaida sana ila jeuri na kiburi tuKishabiki unaweza ukasema unashinda goli 10 ili kuji comfort tu
Kibiashara huwezi ukaweka rehani pesa yako kwa utabiri wa goli 10 kwasababu ni too risk
Hiyo prediction yako ni kishabiki au kibiashara?
Watatoa wapi nguvu jana wamenusurika kulambwa mkonoIla goli tatu zinaumiza bana.
Wale waanzisha uzi maarufu za game za Timu ya Wananchi leo hamu imewatoka kabisa yaaani. Teh teh.
#HapanachezeaTatumzuka. Teh teh.
Hatutaki unafiki, nenda ukaomboleze hukoKila la heri Utopolo fc aka Mikimbio fc
Yule certified popoma ndio kaamka saa hzKwa kweli jana walipigwa na kitu kizito kisogoni. Kuna shabiki mmoja kwa jina la Kalpana, ilifikia wakati alikuwa anatuma tu ujumbe wa aina moja
Raja Casablanca 6 Yanga 0!! π
Raja Casablanca 6 Yanga 0!!
Mechi walikuwa wanacheza simba na Raja Casablanca, yeye akajikuta amepoteza kabisa network kichwani! Kufungwa kunauma aisee! π
Hahahahaaa. Hapana chezea tatu mzuka. Teh teh.Kwa kweli jana walipigwa na kitu kizito kisogoni. Kuna shabiki mmoja kwa jina la Kalpana, ilifikia wakati alikuwa anatuma tu ujumbe wa aina moja
Raja Casablanca 6 Yanga 0!! π
Raja Casablanca 6 Yanga 0!!
Mechi walikuwa wanacheza simba na Raja Casablanca, yeye akajikuta amepoteza kabisa network kichwani! Kufungwa kunauma aisee! π
Viranga komo. π€£π€£π€£Watatoa wapi nguvu jana wamenusurika kulambwa mkono
Akimuona OKW BOBAN SUNZU amwambie namsalimia. π π πHatutaki unafiki, nenda ukaomboleze huko
Pole kwa yaliyo wakuta juzi kati ulikua una bwabwaja kwamba kwenye kupigwa gwara msha toka umeona jana? Nyie ni wa kawaida sana ila jeuri na kiburi tu
Umesahau na uchawiPole kwa yaliyo wakuta juzi kati ulikua una bwabwaja kwamba kwenye kupigwa gwara msha toka umeona jana? Nyie ni wa kawaida sana ila jeuri na kiburi tu
Kuku kudonoa bakuli la mahindi la Tp Mazembe Kuna uhusiano gani na Yanga kushinda goli mbili.?Mbona nasikia kuku alidonoa mahindi 5 kwenye bakuli lililoandikwa Tp Mazembe?
Kumbe uliona mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kweli jana walipigwa na kitu kizito kisogoni. Kuna shabiki mmoja kwa jina la Kalpana, ilifikia wakati alikuwa anatuma tu ujumbe wa aina moja
Raja Casablanca 6 Yanga 0!! [emoji2]
Raja Casablanca 6 Yanga 0!!
Mechi walikuwa wanacheza simba na Raja Casablanca, yeye akajikuta amepoteza kabisa network kichwani! Kufungwa kunauma aisee! [emoji2]