Baleke kaja Simba kwa mkopo, ingia ukurasa rasmi wa Tp Mazembe uone taarifa yao rasmi kabisa kuhusu Baleke
 
Ukisikia mtu kapigwa kwenye mshono ndo kama hivi sasa. [emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani jana walilala na viatu na leo wanalala na viatu tena. Teh teh.
Waambie vile vikatuni wavipost mbona siwaoni, halafu wamekimbia uzi
 
Jiji limenoga mpaka basi.
Baada ya kubwa jinga kulidhalilisha Taifa hapo jana, leo wananchi wametupa uhuru.
Mashabiki wote wa soccer hapa Tanzania tumepata uhuru.
Hongera ziwaendee wachezaji wote na benchi la ufundi kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…