SHOOOGAYanga ikishinda mm shoga
Shoga mbabeeπ€£π€£π€£π€£π€£SHOOOGA
wewe mchawiBao ni 2-1 wakikoswakoswa basi ni 3-1
Young African WIN
ππππShoga mbabeeπ€£π€£π€£π€£π€£
Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!Mayele uwezo umekuwa mdogo... & tamaa. Akae pembeni
Maneno kidogo magoli mingiManeno kidogo pesa mingi.
shoga uku saidi kichwa kapata moto tunafanyaje sasaYanga ikishinda mm shoga
Swahiba sijakuona lupaso ujue πYote kwa yote tusisahau kuuliza mazishi wapi jamani ili na sisi tukashiriki. π π π π
Hahahaaa. Timepishana Swahiba. Teh teh.Swahiba sijakuona lupaso ujue π
Mbona katengeneza nafasi zaidi ya Tatu ambazo kama wenzake wangekua makini zingekua magoliAjifunze kuilinda Mipira wakati akisubiria wenzie
Thubutu!!!!!Leta timu yako kama unaona Mazembe anaonewa.
Ameupiga mwingi mno kama prime Puyol, Canavaro, Nesta,Maldin and current Van dijk π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Wazee, mnyonge mnyongeni, ina maana leo hamjamwona NONDO MWAMNYETO au tunajitia tu upofu?
Ile ya Manila hauwezi fananisha na ili la leo,ilibaki kidogo aipangue,manura hatokaa haisahau ileIla Mkongo kidogo amvunje kiuno,kama Ile mlizoea kumcheka Manula
Ndio tunapambana na foleni sasaHahahaaa. Timepishana Swahiba. Teh teh.