Ila Mkongo kidogo amvunje kiuno,kama Ile mlizoea kumcheka Manula
 
Mayele uwezo umekuwa mdogo... & tamaa. Akae pembeni
Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!

[emoji3516][emoji115]Hilo hapo jibu lako Mzandiki mwenye PhD ya chuki binafsi wewe Kolowizard [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…