Mechi iliyopita katoa boko kwa kumpanga Kibwana na kumuacha Lomalisa na kupanga Kisinda wake Mechi ya leo tena anafanya kosa lile la kuchagua wachezaji. Mwamnyeto hapotihani, Sure boy na Aziz Ki walikuwa wanaumuhimu kuanzaNabi ana masiala yaani Sureboy na Aziz K wameanzia nje daah. Haya ngoja tuone.
[emoji23][emoji23]Tusubirie mtanange tuone mikimbio mizuri na wakunja bukta.
Hiki kikosi kiko vizuri. Uwepo wa viungo wakabaji wawili, ni dalili tosha Profesa amewaheshimu wapinzani.Kikosi cha Yanga dhidi ya TP Mazembe View attachment 2523154
Nondo anawachomaKikosi cha Yanga dhidi ya TP Mazembe View attachment 2523154
Ni vizuri pia kuwa na back up. Akianzisha majeshi yote, ikitokea mambo yakawa tofauti atakosa kwa kukimbilia.Nabi ana masiala yaani Sureboy na Aziz K wameanzia nje daah. Haya ngoja tuone.
Next level Kwa kunyweshwa magoli manne kati ya mechi mbili?Yanga Wasiseme wameenda kuikoa Nchi. Wameshatutia aibu sanaa Taifa. Simba ni Mechi ya 2/3 Tunafungwa kimataifa…. Yanga ni Zaidi.
Kwa hiyo Msituletee Mbwembwe na Kombeni lenu la Looser…. Kusema Mnaenda Kuokoa Nchi au Kusawazisha Makosa Ya Simba. Simba bado ni Nexr Level. Mnahitaji ku Maintain Kwa Miaka 5 mfululizo kuwafikia Simba Huu ni Mwaka Wenu wa Kwanza na Mshetutia Aibu Hatu ya kusaka nafasi ya Makundi.
Bangala atamlinda kama kiungo mkabaji.Nondo anawachoma
Mume mwenyewe punga waarabu wamemtwangaMume akifa kwa ukimwi unategemea nn?
Jibu mujarabuMume mwenyewe punga waarabu wamemtwanga
Mkuu uwe shoga mara ya piliYanga ikishinda mm shoga
Bado unateseka na zile tatu mzuka za jana? Tulia nyumbani mkurugenzi. Usije ukaanguka mwenyewe njiani.Yanga Wasiseme wameenda kuikoa Nchi. Wameshatutia aibu sanaa Taifa. Simba ni Mechi ya 2/3 Tunafungwa kimataifa…. Yanga ni Zaidi.
Kwa hiyo Msituletee Mbwembwe na Kombeni lenu la Looser…. Kusema Mnaenda Kuokoa Nchi au Kusawazisha Makosa Ya Simba. Simba bado ni Nexr Level. Mnahitaji ku Maintain Kwa Miaka 5 mfululizo kuwafikia Simba Huu ni Mwaka Wenu wa Kwanza na Mshetutia Aibu Hatu ya kusaka nafasi ya Makundi.
Usitukane mamba hujavuka mto!Ila haya mambo haya yaani Kila mikia wakizifikiria zile Tatu Mzuka za jana basi wanajikuta wanaucheck huu uzi kwa mbaaali wakiogopa hata kuufungua huku wengine wakipita kimya kimya. Teh 🤣🤣🤣🤣🤣
Amini ama usiamini, hayo ndio matokeoYangaa ya manyonii
KimpiraKishabiki unaweza ukasema unashinda goli 10 ili kuji comfort tu
Kibiashara huwezi ukaweka rehani pesa yako kwa utabiri wa goli 10 kwasababu ni too risk
Hiyo prediction yako ni kishabiki au kibiashara?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji12]Ahmed ally: wanathiiiiiiiimbaaa
simba fans: eeeeeeee
ahmed ally: tumefuuuuungwaaaaa
simba fans: 3 mzuuuuka
ahmed ally: thijasikiaa
simba fans: taaaaa3 mzukaaa
ahmed ally: athanten thana.
Hahahaaa. Lol.Usitukane mamba hujavuka mto!