FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Jana wakati tunarudi home nilikuwa na mabishano na mashabiki wa Simba wakisema kwamba sababu ya sisi kupoteza game imechangiwa na ubovu wa washambuliaji tulionao

Sikuwapinga kwasababu ya comparison yao walitumia timu kubwa yenye Quality player kutuzidi sisi.

Mpaka pale nilipomsikia mmoja akisema Baleke sio striker mzuri kwasababu hakuna namna Tp Mazembe anaweza akakuachia mchezaji wake umnunue ambaye ni mchezaji bora.

Nikawaambia hiyo ilikuwa zamani sio sasa, kama umeona Baleke tumeuziwa mbovu ebu fikiria yule Mkoko Tonombe ambaye alikuwa ni Kisinda wa miaka ile amesajiliwa na Tp Mazembe

Tp Mazembe ya miaka hiyo ilikuwa sio ya kupoteza mechi tena nyumbani kwa timu kama ya Vipers.

Mazembe ya miaka hii ni Ihefu yenye makazi Kongo
Utopolo wakitaka niwape heshima huku walipo waanzie robo fainali kwenda mbele, lakini hawa Mazembe wa siku hizi ni timu nyepesi sana, ndio maana walipigwa na Vipers inayoteseka klabu bingwa, next week naenda piga mtu kwake.
 
kuidharau TP mazembe kwa sababu wamefungwa na yanga ni sign ya mtu asiyejua mpira, kwa kipindi hichi yanga wako vizuri sana...wanacheza attacking football kwa kasi sana...sio wazee wa mkapa hatoki mtu alafu wanacheza kwa kuvizia vizia kwa temple ya hali ya chini....kwa matokeo yoyote watakayoyapata yanga kwa sasa ni timu bora...naiona robo fainal
 
Uwiiii kuna jamaa wa Simba pale Tabata Bima kabet akiwa bar jana, eti Yanga ikishinda leo atampa Mke wake Jay Jay shabiki wa Yanga, leo Jay Jay anaenda kumla mke wa shabiki wa Simba aiseee

Jamani msibeti hadi wake zenu, mpira mchezo hatari sana.. 🇨🇨🇨🇨🇨🇨💚💚💛💛💛
 
Uwiiii kuna jamaa wa Simba pale Tabata Bima kabet akiwa bar jana, eti Yanga ikishinda leo atampa Mke wake Jay Jay shabiki wa Yanga, leo Jay Jay anaenda kumla mke wa shabiki wa Simba aiseee

Jamani msibeti hadi wake zenu, mpira mchezo hatari sana.. 🇨🇨🇨🇨🇨🇨💚💚💛💛💛
Huyo Jay Jay akimumaliza huyo mchuchu anipasie na Mimi nimalizie ukame
 
IMG-20230219-WA0023.jpg
 
Huyo Jay Jay akimumaliza huyo mchuchu anipasie na Mimi nimalizie ukame
Alafu mke wa Shabiki wa Simba nae jana yuko pale bar kavaa jezi ya Simba anasema yuko tayari, akiaamini Yanga haiwezi funga TP Mazembe, alafu saa hz wako bar hii hii wanasubiria mpira uishe... Ah ha haaaa nyiee

Watu wanashabikia mke wa jamaa kuliwa leo, hii imekaaje jamani ha haa
 
kuidharau TP mazembe kwa sababu wamefungwa na yanga ni sign ya mtu asiyejua mpira, kwa kipindi hichi yanga wako vizuri sana...wanacheza attacking football kwa kasi sana...sio wazee wa mkapa hatoki mtu alafu wanacheza kwa kuvizia vizia kwa temple ya hali ya chini....kwa matokeo yoyote watakayoyapata yanga kwa sasa ni timu bora...naiona robo fainal
Ni kweli Yanga wanaimarika na wamesajili vizuri. Yanga nikiitazama naona tishio msimu unaofata iwapo Simba hatutasajili vizuri.

Unajua sisi Simba tulikuwa na tatizo ambalo lilitufanya tukasahau kuwapa pressure ya usajili viongozi.

1. Propaganda za usajili wa majina makubwa

2. Kufunga goli nyingi mechi zisizo na umuhimu.
 
Back
Top Bottom