Wabongo tuna tabuNa huyu msemaji wetu aache propaganda zisizo na maslahi kwa timu. Mara nyingi tu nimemsikia akifanya propaganda ambazo hazina uhalisia na si Afya kwa timu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tuna tabuNa huyu msemaji wetu aache propaganda zisizo na maslahi kwa timu. Mara nyingi tu nimemsikia akifanya propaganda ambazo hazina uhalisia na si Afya kwa timu.
Usilie basi[emoji24][emoji24][emoji24]Ingiza timu yako Kwa mtindo ule ule wa kinyume nyume Ili tukuoneshe utamu wa Yesu
Mashabiki wa mpira wanachotaka ni timu ifanye vzr. Ikifanya vibaya mabaya yako yanafukuliwa kwa kila namna.Wabongo tuna tabu
Kundi la Yanga gumu mkuu huko kombe la losersUlijua leo itashinda?
Hio kitaalamu tunaita kugongewa na kuchapiwa live yaan na booking unaenda kufanya mwenyewe kisha unakabidhi funguo alafu unasubiria maumivu nyuma ya mlango wakati makamuzi yakiwa yanaendelea,Uwiiii kuna jamaa wa Simba pale Tabata Bima kabet akiwa bar jana, eti Yanga ikishinda leo atampa Mke wake Jay Jay shabiki wa Yanga, leo Jay Jay anaenda kumla mke wa shabiki wa Simba aiseee
Jamani msibeti hadi wake zenu, mpira mchezo hatari sana.. 🇨🇨🇨🇨🇨🇨💚💚💛💛💛
Naungana na wewe, nachukia watu wanaongea vitu visivyo na uhalisia .Na huyu msemaji wetu aache propaganda zisizo na maslahi kwa timu. Mara nyingi tu nimemsikia akifanya propaganda ambazo hazina uhalisia na si Afya kwa timu.
Kubeti kwa namna hii ni UPUNGUANI.
Ndio maana zipo huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Timu zote za shirikisho ni vibonde
HafuzuEt unasemaaaaaa[emoji1564]
Kabisa mkuuNaungana na wewe, nachukia watu wanaongea vitu visivyo na uhalisia .
Sanaaa bigi atakuwa umughaka tuUmemmiss bwana BIG
Matokeo bado Yanga 2-0 Tp MazembeUto wanapoteza muda
Ushinde kila siku wewe nani?Mashabiki wa mpira wanachotaka ni timu ifanye vzr. Ikifanya vibaya mabaya yako yanafukuliwa kwa kila namna.
Wanaobinuliwa matipa humu wamo wengi tu.Hii sio mara moja kila kitu yeye anaahidi kuitwa shoga huyu jamaa FK21 achunguzwe mara moja..
Kwenye ligi ya uingereza kaahidi tena Man City akichukua aiywe shoga.
Hkn kbsa sijui nan alishauri hiliKwani kuna umuhimu wa kuingia kisinda lkn[emoji2356]