FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Uwiiii kuna jamaa wa Simba pale Tabata Bima kabet akiwa bar jana, eti Yanga ikishinda leo atampa Mke wake Jay Jay shabiki wa Yanga, leo Jay Jay anaenda kumla mke wa shabiki wa Simba aiseee

Jamani msibeti hadi wake zenu, mpira mchezo hatari sana.. 🇨🇨🇨🇨🇨🇨💚💚💛💛💛
Hio kitaalamu tunaita kugongewa na kuchapiwa live yaan na booking unaenda kufanya mwenyewe kisha unakabidhi funguo alafu unasubiria maumivu nyuma ya mlango wakati makamuzi yakiwa yanaendelea,
 
Na huyu msemaji wetu aache propaganda zisizo na maslahi kwa timu. Mara nyingi tu nimemsikia akifanya propaganda ambazo hazina uhalisia na si Afya kwa timu.
Naungana na wewe, nachukia watu wanaongea vitu visivyo na uhalisia .
 
Back
Top Bottom