FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
FB_IMG_1676834136902.jpg
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ni kiongozi mwenye Baraka na kibali ,Ni kiongozi Ambaye kila anapogusa lazima pafanikiwe,lazima matokeo yawe chanya,lazima patowe matunda,lazima pawe na furaha na amani,kila atakalo litamka neno kutoka katika kinywa chake Ni lazima lifanikiwe, Ni lazima lipokelewe na watu,Ni lazima liteke hisia na kuungwa mkono na watanzania.

Siku chache zilizopita Rais Wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mzalendo na Sauti ya Afrika Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kununua kila goli litakalo fungwa na Timu zetu za Simba na Yanga kwa kiasi Cha shilingi milioni Tano dhidi ya wapinzani wao.

Leo Yanga Baada ya kukumbuka Sauti na ahadi ya Rais wetu na mama yetu shujaa wa Afrika na mtetezi wa waafrika wakaingia uwanjani kimapambano,kimkakati ,kizalendo,kishupavu,kiimara,kikomandoo,kijasusi na kwa kujitoa huku wakiisikia sauti ya mama yao mama Samia kiongozi wa wote ikiwapa hamasa mioyoni mwao,Hatimaye wakapambana kwa nguvu zao zote kwa jasho na machozi na kuisimamisha na kuiduaza Afrika na Dunia nzima kwa ujumla kwa namna walivyo tandaza kandanda la kiwango Cha kimataifa ambalo limeweka historia isiyofutika Barani Afrika na Tanzania.

Yanga wametufuta machozi kama Taifa,wametupatia heshima na kutuheshimisha,wametufutia aibu Kama Taifa,wameleta furaha na Tabasamu watanzania,wamewaponya wengi kwa kuwapatia furaha,wametuondolea Aibu Kama Taifa,wamefanya nchi iendeleee kutabasamu na kutawaliwa kwa vifijo na ndelemo,wamefanya Tanzania ya Rais Samia iendeleee kuteka anga la Afrika,wamefanya mitaa yote ilipuke kwa shangwe na kelele za furaha.

Wamefanya kila biashara ichangamke,vinywaji vinanunuliwa na watanzania huku mitaani bila kikomo, waliokosana wanapatana kutokana na kujawa na furaha.

Hakika ushindi wa yanga uliochagizwa na ahadi za mh Rais umeliunganisha Taifa na kumheshimisha mh Rais wetu mama Samia,wachezaji wamepambana na kupigana kikomandoo kulinda na kutetea heshima ya mh Rais,Sasa nyuso za watanzania zimejawa na furaha,mioyo ya watanzania Ni vicheko na furaha.

Hongera Sana Rais Samia kwa baraka zako kwa vijana wako,hakika umewasaidia Sana katika kuwapa hamasa wachezaji,wewe Ni mshindi Rais wetu katika mchezo wa leo,wewe Ni shujaa Rais wetu katika ushindi wa yanga, Ndio maana jumuiya ya Wanamichezo wote inakupenda Sana na kukuunga mkono.

Naamini Tanzania itaendeleaa kung'ara kimichezo kwa kuwa Rais wetu Ni mwana michezo na mpenda maendeleo ya michezo hapa nchini, palipo na mkono wa Rais Samia lazima uone mafanikio,palipo na neno la Rais Samia lazima uone Tabasamu katika nyuso za watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Lucas utakuwa utakuwa umepotea njia bila shaka. Huku siyo kwako.
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ni kiongozi mwenye Baraka na kibali ,Ni kiongozi Ambaye kila anapogusa lazima pafanikiwe,lazima matokeo yawe chanya,lazima patowe matunda,lazima pawe na furaha na amani,kila atakalo litamka neno kutoka katika kinywa chake Ni lazima lifanikiwe, Ni lazima lipokelewe na watu,Ni lazima liteke hisia na kuungwa mkono na watanzania.

Siku chache zilizopita Rais Wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mzalendo na Sauti ya Afrika Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kununua kila goli litakalo fungwa na Timu zetu za Simba na Yanga kwa kiasi Cha shilingi milioni Tano dhidi ya wapinzani wao.

Leo Yanga Baada ya kukumbuka Sauti na ahadi ya Rais wetu na mama yetu shujaa wa Afrika na mtetezi wa waafrika wakaingia uwanjani kimapambano,kimkakati ,kizalendo,kishupavu,kiimara,kikomandoo,kijasusi na kwa kujitoa huku wakiisikia sauti ya mama yao mama Samia kiongozi wa wote ikiwapa hamasa mioyoni mwao,Hatimaye wakapambana kwa nguvu zao zote kwa jasho na machozi na kuisimamisha na kuiduaza Afrika na Dunia nzima kwa ujumla kwa namna walivyo tandaza kandanda la kiwango Cha kimataifa ambalo limeweka historia isiyofutika Barani Afrika na Tanzania.

Yanga wametufuta machozi kama Taifa,wametupatia heshima na kutuheshimisha,wametufutia aibu Kama Taifa,wameleta furaha na Tabasamu watanzania,wamewaponya wengi kwa kuwapatia furaha,wametuondolea Aibu Kama Taifa,wamefanya nchi iendeleee kutabasamu na kutawaliwa kwa vifijo na ndelemo,wamefanya Tanzania ya Rais Samia iendeleee kuteka anga la Afrika,wamefanya mitaa yote ilipuke kwa shangwe na kelele za furaha.

Wamefanya kila biashara ichangamke,vinywaji vinanunuliwa na watanzania huku mitaani bila kikomo, waliokosana wanapatana kutokana na kujawa na furaha.

Hakika ushindi wa yanga uliochagizwa na ahadi za mh Rais umeliunganisha Taifa na kumheshimisha mh Rais wetu mama Samia,wachezaji wamepambana na kupigana kikomandoo kulinda na kutetea heshima ya mh Rais,Sasa nyuso za watanzania zimejawa na furaha,mioyo ya watanzania Ni vicheko na furaha.

Hongera Sana Rais Samia kwa baraka zako kwa vijana wako,hakika umewasaidia Sana katika kuwapa hamasa wachezaji,wewe Ni mshindi Rais wetu katika mchezo wa leo,wewe Ni shujaa Rais wetu katika ushindi wa yanga, Ndio maana jumuiya ya Wanamichezo wote inakupenda Sana na kukuunga mkono.

Naamini Tanzania itaendeleaa kung'ara kimichezo kwa kuwa Rais wetu Ni mwana michezo na mpenda maendeleo ya michezo hapa nchini, palipo na mkono wa Rais Samia lazima uone mafanikio,palipo na neno la Rais Samia lazima uone Tabasamu katika nyuso za watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Wewe ebu tuondolee haya mashudu yako hapa
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ni kiongozi mwenye Baraka na kibali ,Ni kiongozi Ambaye kila anapogusa lazima pafanikiwe,lazima matokeo yawe chanya,lazima patowe matunda,lazima pawe na furaha na amani,kila atakalo litamka neno kutoka katika kinywa chake Ni lazima lifanikiwe, Ni lazima lipokelewe na watu,Ni lazima liteke hisia na kuungwa mkono na watanzania.

Siku chache zilizopita Rais Wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mzalendo na Sauti ya Afrika Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kununua kila goli litakalo fungwa na Timu zetu za Simba na Yanga kwa kiasi Cha shilingi milioni Tano dhidi ya wapinzani wao.

Leo Yanga Baada ya kukumbuka Sauti na ahadi ya Rais wetu na mama yetu shujaa wa Afrika na mtetezi wa waafrika wakaingia uwanjani kimapambano,kimkakati ,kizalendo,kishupavu,kiimara,kikomandoo,kijasusi na kwa kujitoa huku wakiisikia sauti ya mama yao mama Samia kiongozi wa wote ikiwapa hamasa mioyoni mwao,Hatimaye wakapambana kwa nguvu zao zote kwa jasho na machozi na kuisimamisha na kuiduaza Afrika na Dunia nzima kwa ujumla kwa namna walivyo tandaza kandanda la kiwango Cha kimataifa ambalo limeweka historia isiyofutika Barani Afrika na Tanzania.

Yanga wametufuta machozi kama Taifa,wametupatia heshima na kutuheshimisha,wametufutia aibu Kama Taifa,wameleta furaha na Tabasamu watanzania,wamewaponya wengi kwa kuwapatia furaha,wametuondolea Aibu Kama Taifa,wamefanya nchi iendeleee kutabasamu na kutawaliwa kwa vifijo na ndelemo,wamefanya Tanzania ya Rais Samia iendeleee kuteka anga la Afrika,wamefanya mitaa yote ilipuke kwa shangwe na kelele za furaha.

Wamefanya kila biashara ichangamke,vinywaji vinanunuliwa na watanzania huku mitaani bila kikomo, waliokosana wanapatana kutokana na kujawa na furaha.

Hakika ushindi wa yanga uliochagizwa na ahadi za mh Rais umeliunganisha Taifa na kumheshimisha mh Rais wetu mama Samia,wachezaji wamepambana na kupigana kikomandoo kulinda na kutetea heshima ya mh Rais,Sasa nyuso za watanzania zimejawa na furaha,mioyo ya watanzania Ni vicheko na furaha.

Hongera Sana Rais Samia kwa baraka zako kwa vijana wako,hakika umewasaidia Sana katika kuwapa hamasa wachezaji,wewe Ni mshindi Rais wetu katika mchezo wa leo,wewe Ni shujaa Rais wetu katika ushindi wa yanga, Ndio maana jumuiya ya Wanamichezo wote inakupenda Sana na kukuunga mkono.

Naamini Tanzania itaendeleaa kung'ara kimichezo kwa kuwa Rais wetu Ni mwana michezo na mpenda maendeleo ya michezo hapa nchini, palipo na mkono wa Rais Samia lazima uone mafanikio,palipo na neno la Rais Samia lazima uone Tabasamu katika nyuso za watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Acha ujinga
 
Nani Ako na aftatu awape Simba
Imagine Hawana hat ah kumi ya mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom